Kuna uhusiano wowote wa mwanamke kuendesha baiskeli na kutanuka kwa uke?

ummtotomlito

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
535
Reaction score
644
Habari za Jioni wana Jukwaa,

Katika harakati za kupunguza uzito nimeamua kununua baiskeli ili niwe naendesha maana naona ni zoezi zuri sana kwangu.

Tatizo linakuja hapa kila mwanaume ninaekutana nae njiani wakati naendesha baiskeli ananiambia hiyo baiskeli hiyo subiri uke utanuke.

Naomba kufahamu, je kuna ukweli wowote hapo? Maana naogopa uke wangu kutanuka.
 
ndiyo ila ni kwa baadhi ya baiskel
 
Ukishazaaa ndo uchi hutanuka sio kwa baiskel
 
Unaweza ukapata ajali kiti kikaza huko ndani maana sio padogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…