Inaweza kuhusiana kwa kiasi fulani wanawake wenye ndevu wana muongezeko wa homoni za kiume testerone kwenye mwili na ndio maana wanapata characters za kiume kama hio kuota ndevu,sauti kuwa nzito na kuwa masculine na ukiangalia kwa maana hio wana mapungufu ya homoni za kike estrogen ijapokuwa kawaida anazo homoni zote ila zikiwa inbalance ndo inapelekea hali hio.Estrogen mi homoni muhimu kwenye mfumo mzima wa uzazi hata kutunga mimba na ukiwa na mapungufu nayo inaweza kupelekea kuyumbayumba kwenye mfumo wa uzazi!
Na wengine wasiozaa na hawana ndevu? Homoni zinakuwaje?
Inaweza kuhusiana kwa kiasi fulani wanawake wenye ndevu wana muongezeko wa homoni za kiume testerone kwenye mwili na ndio maana wanapata characters za kiume kama hio kuota ndevu,sauti kuwa nzito na kuwa masculine na polycystic ovarian syndrome(PCOS) ukiangalia kwa maana hio wana mapungufu ya homoni za kike estrogen ijapokuwa kawaida anazo homoni zote ila zikiwa inbalance ndo inapelekea hali hio.Estrogen mi homoni muhimu kwenye mfumo mzima wa uzazi hata kutunga mimba na ukiwa na mapungufu nayo inaweza kupelekea kuyumbayumba kwenye mfumo wa uzazi!
Ngoja niwaite Madr. waje watusaidie. Wapi Dr. @mimi49 , Dr. Mummy measkron, Dr. Riwa, Dr. hippocratessocrates, Dr. MziziMkavu, Dr.Mo na wengineo.
Gorgoeousmimi ameeleza vzr kabisa hapo charmingladyNgoja niwaite Madr. waje watusaidie. Wapi Dr. @mimi49 , Dr. Mummy measkron, Dr. Riwa, Dr. hippocratessocrates, Dr. MziziMkavu, Dr.Mo na wengineo.
Hakuna uhusiano wowote ule kati ya mwanamke kuwa na ndevu au kuzaa ama kutozaaMwenye uelewa na hili tafadhali atujulishe itakua msaada kwangu na kwa wengne
hujambo bibie charmingladyNgoja niwaite Madr. waje watusaidie. Wapi Dr. @mimi49 , Dr. Mummy measkron, Dr. Riwa, Dr. hippocratessocrates, Dr. MziziMkavu, Dr.Mo na wengineo.
Ngoja niwaite Madr. waje watusaidie. Wapi Dr. @mimi49 , Dr. Mummy measkron, Dr. Riwa, Dr. hippocratessocrates, Dr. MziziMkavu, Dr.Mo na wengineo.
Inaweza kuhusiana kwa kiasi fulani wanawake wenye ndevu wana muongezeko wa homoni za kiume testerone kwenye mwili na ndio maana wanapata characters za kiume kama hio kuota ndevu,sauti kuwa nzito na kuwa masculine na polycystic ovarian syndrome(PCOS) ukiangalia kwa maana hio wana mapungufu ya homoni za kike estrogen ijapokuwa kawaida anazo homoni zote ila zikiwa inbalance ndo inapelekea hali hio.Estrogen mi homoni muhimu kwenye mfumo mzima wa uzazi hata kutunga mimba na ukiwa na mapungufu nayo inaweza kupelekea kuyumbayumba kwenye mfumo wa uzazi!
I concur.