Kuna ukomo maalumu wa 'Ndude' ya mwanaume kuacha 'kusoma mnara'?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tumekuwa Tukisia Kuwa Wanawake Hukoma Kupata PERIODS au HEDHI Zao Wakiwa Na Miaka Kati Ya 48 Hadi 53.

Sasa Na Mimi Pia Naomba Kuuliza; Je, Hivi Huwa Kuna UKOMO MAALUM Wa UUME Wa Mwanaume Kuacha KUSIMAMA a.k.a KUDINDA?

Naomba Majibu Yenu Tafadhalini..
 
Hakuna kikomo ni kutokana na vyakula vyako unavokula hasa vya mafuta mafuta husababisha kutosimama lakin kama unajitaidi kiviepuka na kufanya mazoez hata ya kutembea tu no mwisho ni kufukiwa tu
 
Think before asking, tangu lini kupandisha hisia kwa mwanamke na mwanaume kukawa na uhusiano na kuzaa?

Mwanamke anafika kikomo cha hedhi kwa maana ya kwamba hatakiwi kuzaa tena na siyo eti ndo mwisho wa yeye kupandisha hisia!!!!hisia ziko palepale na anaweza kusex kama kawaida coz damu inachemka!!!

Na hii ni sawa na mwanaume mwenye uwezo wa kudindisha lakini hazai,Na hii ina maana kuwa mbegu zake hazina nguvu/virutubisho vya kumfanya mwanamke ashike ujauzito!!!

Finally ni kwamba kudindisha kwa mwanaume hakuna kikomo na kukata kwa hedhi si Kutokuwa na hamu ya kufanua mapenzi kwa mwanamke

Bali kuna magonjwa yanaysabbsha mtu asidindishe huko mbelen baada ya kuugua kisukari nk au kupiga puli(punyeto)kimasifa.

Kwa nyongeza tembelea daktari yeyote alie karibu na wewe.
 
Big up
 
Kuna mzee mmoja nilimsikia anaongea na mwenzake akisimulia kwamba kulikua na ugomvi na mkewe, hadi ikabidi ndugu waingilie kati huo ugomvi ili kunusuru ndoa. Sasa anasema alipoulizwa tatizo ni nini? akajibu yeye hapati huduma siku hizi (Kwa ule umri alionao ilibidi nicheke peke yangu) ndio nikajua kumbe wanaume wanabaki kuwa wanaume tu.
 
Expire date noma sana kaka!
Naamini mpaka tukifika uzeeni kuna Tech itakuwa imevumbuliwa ya activation yani Kama power bank vile au petrol station unaenda unalipia chaji ya buku au mwekundu kulingana na mahitaji yako... Aisee itakuwa full shangwe
 
Kuna vitu Sitaki kuviwaza huwa nakosa raha kabisa nikivikumbuka
Hasa ukiwa umeoa kabinti kazuri ulikokazidi miaka kumi na kitu. Kwamba unaweza shindwa kwenda mlimani ilhali yeye ndo kwanza anaita.
 
Hivi ni kweli? Kuna jamaa alinihadithia kuwa aliishuhudia kwa jamaa wake wa karibu alipofariki sikuamini.
kabisa ni kweli bendera inakuwa chuma na mlingoti chuma na kabla hajakufa ile kitu inatoka kidogo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…