Kuna ukweli gani juu ya hii ' Tetesi ' kuwa Brazameni Dj Majizo ( Majey ) amebwagana na Mpenziwe Lulu?

"Naogopa uzuri wako...
Umeumbwa kuvutia, haujaumbwa kuolewa.." - Mo Kweli.

Sio kila mwanamke anaoleka.

-Kaveli-
 
haufananii kabisa na hayo mambo ya kipuuzi puuzi
 
Hivi zile ndoa za mikeka bado zipo Tanzania?
 
"Daddy is coming"

Hivi ile projekt ya ahadi ya ndoa ya Makonda bado tu mpaka sasa!!
 
Kama ni kweli hawafai,pete tu mambo yalikua moto,mahari hadi ukumbini hio harusi mambo yangekua fireee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…