Dannis JF-Expert Member Joined Jan 21, 2016 Posts 1,603 Reaction score 1,702 Jul 7, 2018 #1 Habari za weekend waungwana, je kuna ukweli wowote kuwa mwanaume/ wanamke asipofanya mapenzi kwa muda mrefu, siku akifanya atapata chunusi usoni na sehemu za siri? Kwa sehemu za siri zinakuwa zinawasha lakini baadae hupotea?
Habari za weekend waungwana, je kuna ukweli wowote kuwa mwanaume/ wanamke asipofanya mapenzi kwa muda mrefu, siku akifanya atapata chunusi usoni na sehemu za siri? Kwa sehemu za siri zinakuwa zinawasha lakini baadae hupotea?
toriyama JF-Expert Member Joined Feb 18, 2014 Posts 1,139 Reaction score 2,223 Jul 7, 2018 #2 Joseverest.... Upo wapi utusaidie kujibu swali hili..
Sauda JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 860 Reaction score 1,106 Jul 8, 2018 #3 'Siku Nyingi' weka idadi ya hizo siku, mwezi, miezi, mwaka, miaka?
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Jul 8, 2018 #4 Masking Agent said: Joseverest.... Upo wapi utusaidie kujibu swali hili.. Click to expand... Hakuna ukweli wowote hapo mkuu
Masking Agent said: Joseverest.... Upo wapi utusaidie kujibu swali hili.. Click to expand... Hakuna ukweli wowote hapo mkuu
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 27,031 Reaction score 49,928 Jul 8, 2018 #6 Uongo mtupu
C choba Senior Member Joined Jul 9, 2012 Posts 117 Reaction score 18 Jul 8, 2018 #7 mimi sijui. jaribu aafu utupe mrejesho.