Kuna ukweli hapa?

ukweli mtupu... ila afadhali huku kwetu bado kuna watu wana utu kidogo
 
Tena na popcorns
Ameandika nini tena??! Huyu naye ametingwa kha!
Social media wengi wanaitumia ndivyo sivyo
Kuelezea maisha yako mazuri kuna wanaokuombea mabaya na kuna wanaokuombea mema na ukiandika mabaya ni vivyo hivyo
 
Ameandika nini tena??! Huyu naye ametingwa kha!
Social media wengi wanaitumia ndivyo sivyo
Kuelezea maisha yako mazuri kuna wanaokuombea mabaya na kuna wanaokuombea mema na ukiandika mabaya ni vivyo hivyo
Joyce Kiria anasema ndoa siyo vita
 
Hiyo inaitwa kila mtu apambane na hali yake, social media weka happy moments tuu. Sad sorrows man matatizo tatua mwenyewe vinginevyo unawapa watu movie bila kiingilio maana kulipia elf 10 Century Cinema wengine ni issue.
Hahaa ..yaani kulipia 10K century cinema nini !!?
 
Nahitaji kazi wakuu, mnisaidie.
 
Kasie nisaidie kazi, hata kuosha vyombo. Nisaidie mama.
 
Inategemea maadau zako watafurahia rafk zako pengne watataka wajue lililokusibu wakufariji sisi wengne tuna scroll tu we don't care we mind our own business
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…