kuna ukweli hapa!!


mambo makubwa kama yapi?
 
mambo makubwa kama yapi?
Unategemea vitu ambavyo ni juu ya uwezo wake.., au mtu sio mcheshi na tangia mwanzo ulijua hivyo lakini unataka awe mcheshi.., au unajua kabisa ni mtu wa kutulia na sio outgoing unataka awe mtu wa parties na kujirusha na wewe.., au unajua kabisa sio mchapa kazi za ndani kwa sana (mvivu mvivu) unataka ghafla awe mchapakazi..., au ni mtu mcheshi anapenda kuongea na watu na kujichanganya na watu ila kwa wivu wako unataka aache kuongea na mtu awe anaongea na wewe peke yako... the list is endless.

Yaani unataka mtu ambae ni perfect kwako yaani kila unachotaka wewe kipatikane kwake (yaani ni kama mwanasesere ambaye kila ukibonyeza remote anafanya kile unachotaka wewe). Wakati nadhani kama tu unampenda anakuheshimu na anakujali na ana roho nzuri na busara mengine yoyote ambayo anayo ni bonus.
 

ooh! Haya, nashukuru.
 

Dada Kaunga wewe unaprefer kipi?
 
Dada Kaunga wewe unaprefer kipi?

Aisee vyote, nisiposikia sauti ya mupenzi siku nzima naumwa! Inbox ikijaa SMS zenye maneno matamu, nalala with a big smile.
 
Sun wu u are so dearly tanx alot
 
wapendwa wangu mmenifunza meng hapa na pia nashukuruni sana tuu. Guys mi nadhan ntapata uvumbuz wa mambo mengi saana humu akina sun wu, senetor, husninyo, kikungu,rose bila kukusahau nyani, na wote jaman nawapenda
 

mapenzi hayapimwi kwa kupigiana simu wala kutumiana msg BUT hivyo ni vionjo vya kunogesha mapenzi,zamani kabla ya uvumbuzi wa simu wazazi wetu walipendana na kufikia malengo yao bila shida..
In your context ulishawahi kumwambia mwenzio kuhusu hiyo situation??kama ulimwambia na haonyeshi kubadilika jua ipo nje ya uwezo wake huna budi kuacept weakness yake..
 

Purple mekuelewa mpenzi nishaaccept bt saiv nimeshaizoea hali hiyo ananteen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…