Kuna ukweli hapaaaaa..

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
Inakuajeeeeeeeeeeeee!


Samahani sana wana jf kwa hili manake kichwa kinauma. Swali langu ni Wanachuo wote wa vyuo vya private wanaosomea faculty za Afya eti huwa wakimaliza masomo either kwa ngazi yeyote kama certificate na diploma wakifaulu vizuri huwa wanapangiwa vituo vya kazi kama waalimu!
Naombeni msaada wenu kwa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…