Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Why watu flani huharibu pesa kwa makusudi? Nlikutana na hili jambo pia mwaka jana nlienda Mtwara kwenye Mgahawa mmoja karibia kila change waliyotaka kunipa ya note imechanwa pembeni. Nlikataa sababu sikupenda pesa ambayo imechanwa.
Ila nikaja ambiwa ni mambo mambo tu ya binadamu.
Ila nikaja ambiwa ni mambo mambo tu ya binadamu.