Kuna ukweli katika hili?

Kuna ukweli katika hili?

Jagood

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2016
Posts
2,141
Reaction score
2,388
8339c6eef098814f9485cac90ce31dc2.jpg
 
Du kuna kaukweli hapo wanawake si wa kisport sport mkuu
 
Hiyo ni fact for hundred percent, ukiondoa sheria mwanamke husikilizwa na kuaminiwa na jamii haraka na kupata msaada Mapema Kuliko jinsia yetu hii, Mfano kwa issue kama hiyo huyo mwanamke angeweza kudanganya Pia jamaa alitaka ambake na ingekubalika!
 
Hapo ingekuwa "akikuchukia anaweza kukuua na akikupenda anaweza kukulinda"
 
Back
Top Bottom