machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Habari zenu wakuu?
Eti kwamba mwanaume ukiwa na msongo wa mawazo (stress) unapaswa kulia machozi kwamba inasaidia kukutuliza na kukuepusha magonjwa ya afya ya akili?
Iko hivi ndani ya miaka mitatu hii Kuanzia 2021 nilipata changamoto mbalimbali kubwa kwa vipindi vifupi vifupi
Mama wa watoto wangu alifariki,kikapata ajali,mzee wangu akaumwa,nikakosa kazi na changamoto zikazidi kujichanganya! Hata hivyo nilijitahidi KUPAMBANA nilikua ni sehemu ya maisha na yatapita tu kwani Kila mtu ana changamoto zake!!
Kuna wakati huwa nikitulia mahali napatwa na msongo ila napotezea nanyonga shada zangu navuta najisikia vizuri naendelea kuwatafutia watoto wangu ugali ukiwa Mimi ni baba na mama kwa mpigo
Kuna wanasaikolojia naskia wanasema mwanaume anapaswa kulia kutoa sumu, juzi kati nimejifungia ndani peke yangu nikijaribu kulia kwa kweli nilishindwa nikajikuta macho makavu nikajiona mpumbavu nikaanza kujicheka
NB:Mimi sikumbuki mara ya kulia ni lini,hata shule nilikua nikichapwa silii walimu wakasema huyu mtoto ni mkorofi
Eti kwamba mwanaume ukiwa na msongo wa mawazo (stress) unapaswa kulia machozi kwamba inasaidia kukutuliza na kukuepusha magonjwa ya afya ya akili?
Iko hivi ndani ya miaka mitatu hii Kuanzia 2021 nilipata changamoto mbalimbali kubwa kwa vipindi vifupi vifupi
Mama wa watoto wangu alifariki,kikapata ajali,mzee wangu akaumwa,nikakosa kazi na changamoto zikazidi kujichanganya! Hata hivyo nilijitahidi KUPAMBANA nilikua ni sehemu ya maisha na yatapita tu kwani Kila mtu ana changamoto zake!!
Kuna wakati huwa nikitulia mahali napatwa na msongo ila napotezea nanyonga shada zangu navuta najisikia vizuri naendelea kuwatafutia watoto wangu ugali ukiwa Mimi ni baba na mama kwa mpigo
Kuna wanasaikolojia naskia wanasema mwanaume anapaswa kulia kutoa sumu, juzi kati nimejifungia ndani peke yangu nikijaribu kulia kwa kweli nilishindwa nikajikuta macho makavu nikajiona mpumbavu nikaanza kujicheka
NB:Mimi sikumbuki mara ya kulia ni lini,hata shule nilikua nikichapwa silii walimu wakasema huyu mtoto ni mkorofi