Kuna ukweli kuhusu hili?

teeeee teee! hivi dodoma kuna chuo kikuu kumbe,kudadeki nilijua ni mkusanyiko wa waalimu,wazee na wote waliosoma shule za kata! tee! tee! ili kuhusu ajira kuna dogo ameliza huko chuo cha kata udom yupo dar maeneo ya ubungo riverside,mwaka wa 3 sasa hajapata ajira,alisomea sociology sasa anapigisha disko toto kwa siku anapata buku 2,
 
Hata mie nimesikia hii habari ila sidhani kama kuna ukweli ndani yake,swala la ajira ni timed bomb kama alivyosema Lowasa.
 

Hakuna haja ya kuwavunja nijana tamaa, kuajiriwa kunategemea na uhitaji wa nafasi husika katika sehemu fulani. kama program uliyosomea inakuwa haina demand sana na wenyesifa ni wengi basi hapo itaangalia chuo,kiwango cha ufaulu n.k.
lakini kila chuo kikuu hapa tanzania kina sifa sawa na kingine kwa upande wa kutoa wahitimu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…