felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
Je, katika mambo haya mawili ni lipi Lina ukweli?
Unakuta unataka kufanya jambo, katika kukaribia kulikamilisha, unapata hofu na woga sana, hatimaye unaacha.
Kwingine unataka kufanya jambo katika kukaribia kulikamilisha unakua hauna hofu Wala kua na wasiwasi
Sasa wataalam wa mambo ya kiroho wanasema ukiona jambo ambalo umechukua maamuzi ya kulifanya ambalo ni halali ukapata hofu na wasiwasi, basi hio njia ndio njia sahihi na itakayokufanikishia malengo yako, ila ukiona haupati wasiwasi Wala hofu ujue hio njia sio sahihi.
Je, wewe umeshapata Hali kama hii ?
Unakuta unataka kufanya jambo, katika kukaribia kulikamilisha, unapata hofu na woga sana, hatimaye unaacha.
Kwingine unataka kufanya jambo katika kukaribia kulikamilisha unakua hauna hofu Wala kua na wasiwasi
Sasa wataalam wa mambo ya kiroho wanasema ukiona jambo ambalo umechukua maamuzi ya kulifanya ambalo ni halali ukapata hofu na wasiwasi, basi hio njia ndio njia sahihi na itakayokufanikishia malengo yako, ila ukiona haupati wasiwasi Wala hofu ujue hio njia sio sahihi.
Je, wewe umeshapata Hali kama hii ?