Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huko Kerege mbususu bei gani?Bei imeshuka ya mbususu tu vingine vyote bei zimepanda sana.
Na hii inflation sio Tzn pekee ni Dunia nzima..US iko 6.2% highest level ever to be reached,the same to EU iko 5% nako haijawahi fikia.Nilimsikia leo Rais Hussein Mwinyi akilisemea ili la inflation
Alisema sasa ivi wenye meli wameongeza gharama za usafirishaj wa mizigo, kitu kinacho pelekea bidhaa zinazoingia nchin kuwa bei juu
Taifa linaporomoka korongoniBati iliyouzwa 20000 miezi 12 iliyopita leo inauzwa 24-26.
Iliyouzwa 17000 miezi 12 iliyopita leo inauzwa 21-22.
Iliyouzwa 22 miezi 12 iliyopita leo inauzwa 27-28.
Hii ni kwa mujibu wa macho na masikio yangu huku Chanika.
Jero kwa usiku mzima.Kwani huko Kerege mbususu bei gani?
Hapa ndo namlaumu mwalimu !!kwa kufanya lugha ya taifa kuwa kiswahili, discussions na articles kama hizi wengi wetu hatuna muda na uwezo wa kuzisoma , tunaishia kumlaunu mama rais kwa mfumuko wa bei.Na hii inflation sio Tzn pekee ni Dunia nzima..US iko 6.2% highest level ever to be reached,the same to EU iko 5% nako haijawahi fikia.
View attachment 2041896
View attachment 2041920
View attachment 2041921
View attachment 2041922
View attachment 2041923
View attachment 2041924
The situation in the world economy is at alarming state..Hapa ndo namlaumu mwalimu !!kwa kufanya lugha ya taifa kuwa kiswahili, discussions na articles kama hizi wengi wetu hatuna muda na uwezo wa kuzisoma , tunaishia kumlaunu mama rais kwa mfumuko wa bei.
Watanzania hatupo well informed kwa sababu ya kukumbatia kiswahili , taarifa nyeti kama hii ya kupanda gahrama za shipping , hadi tutafsiriwe na mkandara au lufufu
Hiyo kibokoJero kwa usiku mzima.
Malighafi zinakuja kwa mguu?Nondo nazo zinaletwa na meli? Mbona nazo zimepanda?
Nondo si zinatengenezwa bongo hapa hapaMalighafi zinakuja kwa mguu?
Nondo si zinatengenezwa bongo hapa hapa
21-22 duka gani hilo nisanue chapu, nilienda kwa vunja bei nikakimbiaBati iliyouzwa 20000 miezi 12 iliyopita leo inauzwa 24-26.
Iliyouzwa 17000 miezi 12 iliyopita leo inauzwa 21-22.
Iliyouzwa 22 miezi 12 iliyopita leo inauzwa 27-28.
Hii ni kwa mujibu wa macho na masikio yangu huku Chanika.
Sabuni, sukari, chumvi, pia...kutakuwa na kitu kingene mbali na hiyo gharama za usafirishaji.Nondo nazo zinaletwa na meli? Mbona nazo zimepanda?
Vunja bei ni wahuni na wengi wanafanya udalali wa kifamilia.21-22 duka gani hilo nisanue chapu, nilienda kwa vunja bei nikakimbia
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app