Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,618
Habari,
Hivi karibuni nimekua najipanga kuingia kibiashara ya usafirishaji kwa maana kununua Noah na kuitumia kutengeneza kipato cha ziada pamoja na kumtoa dogo mtaani bila ya lakufanya (jobless).
Sasa kuna waungwana hapa ndani alinipa taarifa kwamba gari aina ya Toyota Noah zimezuiliwa kusajiliwa.
Yaani zilizopo zinatosha na hawasajili zozote mpya kwa sasa isipokua kuna aina nyingine ya magari ndio wanayapokea na kigezo kikubwa kikiwa ni suala la usalama.
Naomba mnisaidie kwa upana wa taarifa hizi na ukweli wake;
1: Ni kweli zimesitishiwa usajili?
2:Kama 1 ni kweli) je ni aina gani hiyo mpya ya gari zinazohitajika kwa sasa?
Asanteni:
J.D.D.M
Hivi karibuni nimekua najipanga kuingia kibiashara ya usafirishaji kwa maana kununua Noah na kuitumia kutengeneza kipato cha ziada pamoja na kumtoa dogo mtaani bila ya lakufanya (jobless).
Sasa kuna waungwana hapa ndani alinipa taarifa kwamba gari aina ya Toyota Noah zimezuiliwa kusajiliwa.
Yaani zilizopo zinatosha na hawasajili zozote mpya kwa sasa isipokua kuna aina nyingine ya magari ndio wanayapokea na kigezo kikubwa kikiwa ni suala la usalama.
Naomba mnisaidie kwa upana wa taarifa hizi na ukweli wake;
1: Ni kweli zimesitishiwa usajili?
2:Kama 1 ni kweli) je ni aina gani hiyo mpya ya gari zinazohitajika kwa sasa?
Asanteni:
J.D.D.M