Justine_Dannie
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,962
- 1,618
Sijakuelewa mkuuPiga rto moshi.
Piga simu office ya usalama barabarani mkoa RTO tafuta namba kwenye mtandao,Sijakuelewa mkuu
Nimeongea nae leo akaniambia hilo Ni jukumu la SUMATRA,Piga simu office ya usalama barabarani mkoa RTO tafuta namba kwenye mtandao,
Cheki na sumatra mkoa ili kujiridhisha.Nimeongea nae leo akaniambia hilo Ni jukumu la SUMATRA,
Lakini pia hata kungelikuwepo na taarifa za kuzuia hizi Noah mpya kuingia katika biashara, taarifa wangepata wao pia maana wanahusika Moja kwa Moja na utekelezwaji wa Sheria.
Mwisho ajamaliza na kuita ni uzushi.
Je step two nionge na watu wa Sumatra Kilimanjaro?
Naweza pia kuwapata SUMATRA (kimawasiliano) mtandaoni pia , kwa maana ya namba zao?Cheki na sumatra mkoa ili kujiridhisha.
0800110819Naweza pia kuwapata SUMATRA (kimawasiliano) mtandaoni pia , kwa maana ya namba zao?
Be blessed brother,0800110819
Tz yote, kama atakayepokea hana jibu atakurefer kwa wahusikaBe blessed brother,
Hii ni kwa Kilimanjaro sio au TZ yote?
Asante Sana ndugu,Tz yote, kama atakayepokea hana jibu atakurefer kwa wahusika
Nimekosea kidogo ni 0800110019Asante Sana ndugu,
0787787621 jaribu na hiyoBut naambiwa "the number you dialed doesn't exist"