reserch questions 1. Ganzi inayotumika kwenye tohara ndo inapunguza nguvu za kiume 2. Nyuzi za kushonea mboo zinapunguza nguvu za kiume 3. dawa zinazopakwa kwenye mboo huko porinizinaongeza nguvu
jamani na hao wasiotahiriwa mnawaweka kundi gani?
jamani na hao wasiotahiriwa mnawaweka kundi gani?
reserch questions 1. Ganzi inayotumika kwenye tohara ndo inapunguza nguvu za kiume 2. Nyuzi za kushonea mboo zinapunguza nguvu za kiume 3. dawa zinazopakwa kwenye mboo huko porinizinaongeza nguvu
Fanya 'scientific study' utaweza jibu swali lako ukiwa na evidence. Case-Control Study itakusaidia, cases ni wale waliopungukiwa nguvu za kiume..na control ni wale wenye nguvu za kiume kama kawaida ila uwamatch kwa umri, life style (mlo, mazoezi etc), na confounder nyingine utakazofikiria...kisha look back in time kuona walitahiriwaje (hospitali kwa ganzi vs porini kwa jando), halafu compare hizo group 2. Hapo utapata scientific evidence kuwa ni kweli au la....lakini sio humu JF kwa watu kusema mimi hivi, na mimi vile...hujaweka hata case definition ya 'kupungukiwa nguvu za kiume' maana yake ni nini!
hahaha hao watakuwa hawawezi, perfomance 0%
hao hao ndiyo.Yani wale wenye magovi a.k.a mikono ya sweta!
wala usihangaike,nshacheki na TF,mwoga yule siku ya jando alipoona kisu tu akachanja mbuga na kudandia lori la mkaa lililokuwa linakuja dar,the rest is history.Haya mapya sasa. Ngoja niliulize linjemba langu limetahiriwa wapi. Lol.
mbona wahaya,waha,wangoni,wanyakyusa,wahehe wanazaa?