Kabisa my Daby kagiza tu kakiingia tunazima taa tunaingia ulimwengu mwingineLeo tulale mapema eeh.
[emoji39][emoji39]
Ngoja nikuletee na blanket kabisa tehNgoja nichukue shuka nikalale..
Ndio maana mod wamefuta uzi wangu wa kukuomba msamaha..Ngoja nikuletee na blanket kabisa teh
Nimewaomba wafute coz nshakusamehe mwayaNdio maana mod wamefuta uzi wangu wa kukuomba msamaha..
Hapa ni kama umevamia harusi ya uswazi wanakunawishab mikono hafu unakosa chakula.Mmh eeeh kumekuchaa,__direction ya kuelekea wapi???
Mbona hukuniambia kama umenisamehe?Nimewaomba wafute coz nshakusamehe mwaya
Ntakuchapa ray umesahau nilikwambia asubuhiMbona hukuniambia kama umenisamehe?
Ungeandika maneno ili niwe nayasoma kila muda yanifariji..Ntakuchapa ray umesahau nilikwambia asubuhi
Haya...Hata mm sio sana ungesema tu naku... nimeku.. basi yatosha
Haya kaniandikie msamaha bwana hata kwa text..
Ngoja nirudishe avatar yangu ya asubuhi kama umenisamehe..Haya...
Naku...gawa bure
Nimeku...samehe
Usirudishe pls...Ngoja nirudishe avatar yangu ya asubuhi kama umenisamehe..
Nakutania kipenzi changu i can't do itUsirudishe pls...
[emoji23] [emoji23] goodNakutania kipenzi changu i can't do it
Kwanini nikuudhi cheupe dawa wangu
Michael ni nani?Michael amekudanganya mkuu![emoji23] [emoji23] [emoji23]........ believe me!