St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Users Browsing this Topic
There are currently 15 users browsing this thread. (9 members and 6 guests)
Na wewe unasemaje hapo mama sema basi nikusikie........
Nauliza tu
Users Browsing this Topic
There are currently 15 users browsing this thread. (9 members and 6 guests)
Na wewe unasemaje hapo mama sema basi nikusikie........
Paka Mweusi!
Hiyo red ni jinsia gani?
Au nifuate hiyo plus?
Nimetumwa nae Afr*d*nz* uniambie jinsia yake!!
Kuna kauhusiano kati yenu?
mmmhhh shikamoo paka
rudi nyuma page moja tuuu utaona bab ae..
Mkuki eee...
Anyway, kwa kweli mimi sioni umuhimu wa kufanya mapenzi kabla ya ndoa. In short, ni DHAMBI (whether you like it or not, na unalitambua hilo)
Babu DC, umetoa excuses nyingi kuhlalisha uyasemayo lakini kumbuka, we do not make a rule out of an exceptional situation. Ni percentage ngapi ya wanawake ni Semenya? Ni wanaume wangapi hawasimami!?? Na je hayo hamuwezi kuyafahamu wakati tu wa urafiki na kuchumbiana?
Sasa je utafanya na wangapi ili ujue anayekuridhisha?
Kuhusu mambo ya kufanya inategemea na interests zenu, ila there is a lot to do while courting such da hata muda wa kufikiria ngono hamtapata.
Kama mko chuo, think abt involving yourselves in extra-curricula activities, community projects, spiritual groups, something that will most times keep u around people but you also have your quality time. Shida inaokea (na hili nimeliona sana) pale mnapotaka kukaa pamoja tu kila mahali mfatane kama mambuzi bila ya kuwa na kitu cha kufaya, lazima shetani awatumie tu kwani an empty mind is the devil's workshop.
There is alot to do..na mzee Bujibuji kama kweli uko sincere na swali lako, nadhani utachukua jibu hili..
Usidangayike, chukua hatua..amua kusubiri!
Kuna mwanafilosofia aliwahi kusema: Kuna raha mbili kubwa duniani, ile ya kufaulu mtihani na ile ya usiku wa kwanza baada ya ndoa...don't trade this for any simple cheap ungodly advice!
Ubarikiwe...
*Na just as an addition, unapofanya ngono nje ya ndoa, kuna ile feeling ya worthlessness. unakumbuka mara ya kwanza umelala na msichana alafu hakuwa bikra ila yeye ndo alikuwa wa kwanza kwako? ulijisikiaje??!!
But above all..Ni dhambi, i guess that should be enough a reason not to..
E Mungu, naomba unisamehe, na uwasamehe wachangiaji wote wa jukwaa hili mana hawajui walitendalo na walisemalo. Mungu umetuumba kwa mfano wako tena kwa nanma ya tofauti na viumbe wengine, umetupa akili ya kutambua uovu na ubaya , lakini mbona tunasahau ukuu wakao, tunakata kazi zako? maana umesema kila kitu umekifanya kwa makusudi yako. zaidi sana tumekosa shukrani na tumejitafutia njia zetu wenyewe za kuenenda. Maan umenea wazi kwamba ipo njia ionekanayo ni njema machini pa mwanadamu lakini mwisho wake ni mbaya.
Msamehe Kiranja mkuu, coscated, simbala winyo, paulss,Jabali, Drk city,s.fm, Masaki, Eng. smasher funza dume, kaburaye, mdoe bujibuji na wengine wote waliochangia katika thread hii. Natambua kwa kiasi gani umekasirishwa na ushauri wao kwa jamii, kuifanya jamii iamini kinyume na mpango wako kwa wanadamu. Maana hata tukisema tuongeze unywele mmoja ni kitu ambacho hatukiwezi.
Usiwaangamize kama sodoma na gomora maana najua haya yanayo tendea leo ni zaidi ya sodoma na gomora, naomba wasamehe na wape nafasi ya kutubu , fanya mako ndani yao, badili mioyo yao iliyoharibika, iliyo jaa udhalimu , isiyo na hofu yako wala woga wa maovu.
Mungu wa yakobo, isaka na ibrahimu,naomba kwajili ya vijana wenzangu maana najua waliopo hapa wanawakilisha wengi, uwaokoe waijue kweli yako, wakuabudu wewe tuu maana natambua siku ile inakuja na unashangaa ni ubaya gani tulio uona kwako hata tumegeuka kuwa kama wanyama??.
Mungu wangu nakushukuru naamni umesikia mambo haya.
.
Kuna jamaa yangu alijidanganya, akidhani ataonekana mwanaume wa shoka kwa dem wake asipomuomba sex mpaka wafunge ndoa. Na jamaa alimpenda kinoma huyo demu. Kumbe demu anataka kuonja uroda wa jamaa, akawa anaogopa kumwambia.
Akajitokeza chek bob fulan, akam-mwagia sera dem, akaombwa mechi, wakazichapa. Chek bob akaamua aoe kabisa. Huku jamaa anapata taarifa dem ana tumbo la miez miwili ndani ya ndoa.
Jamaa amekuwa kama chizi saa hizi, anaongea peke yake, anachukia kila mwanamke anaekutana nae
Hakuna ulazima wowote lakini katika dunia tuliyokuwa nayo leo hili ni nadra sana kuwezekana.
Mh..!! Siku hizi tunasalimiana hivyo? Mbona salamu kubwa hivi?
Kuna wengine ni kama semenya.
Unaweza kufikiria umepata binti, ukamuoa, kwenye honey moon ndio mnakutana wote mmesimamisha mitarimbo.
Kudadadadadadadeki, sijui utatokea mlango gani?[/
duuuu hiiii hatariiiii haaaaa haaaaa haaaaaaa
N
Hivi na wewe umejabiru kufanya reflection ili uweze kujiombea walau kujua unaishi sayari ipi? Inawezekana unaelea majini na hujui kwamba uko katika hali hiyo.
Naamini utatambua kuwa ni watu wengi hapa wanatete tamaa zao za mwili , wamekuwa watumwa wa miili yao, najua wanajuta, lakini hawapati jibu. sasa nini cha kufanya, ni kumjua yeye aliye waumba katika hali hii. hatuja sikia bado kifo cha shetani na kama huamini kuwa shetani yupo basi amini Mungu yupo. Wasichana bikira wapo, na kina kaka bikira nao wapo lakini watu hapa wanataka kuhalalisha eti hakuna kabisa. Kama tunafikiri ngono kuliko hata masiha yetu wenyewe, hii ni hatari.