Kuna ulazima Gani???

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Unakuta binti alikua kicheche, shangingi aliyekubuhu kuwachuna na kuwapagawisha mabuzi.

Buzi akipagawa na kuamua kutangaza ndoa, huwa nashangaa wamama eti wanamuandalia kicheni pati, ya jinsi gani ya kukata kiuno, jinsi ya kubugia ile kitu nk. Sa kama angekuwa hayawezi hayo mambo, buzi lingewezaje kutangaza ndoa au pengine kutelekeza familia?

Bora basi mafunzo ya kicheni pati yangekua yanahusu jinsi gani ya kumheshimu mume, kutunza familia, kuachana na tabia ya ukahaba etc. Wao wamebezi kwenye maeneo ya kati tu.
 
Umewahi kuhudhuria kitchen party? Naomba jibu ili niendelee
 
kwani kwenye KP's hawafundishwi kumheshimu mume??
 
kwani kwenye KP's hawafundishwi kumheshimu mume??
Ndio maana nikamuuliza kama amewahi kuhudhuria KP yoyote au anajaribu kujenga hoja ya kufikirika
 
Sa kama hapo juu hamjui kusoma na picha mshindwe kutazama.
 
kusoma najua na lugha y apicha pia inaielewa

sasa ni hicho tu hufundishwa?? what makes u think thats the only 'training' tunapataga hapo?? hiyo si picha moja tu kwani ndo ina-cover the whole event??
 
kwani kwenye KP's hawafundishwi kumheshimu mume??

kwann hiyo isiwe topic kuu hasa ukizingatia bibi harusi mtarajiwa amekubuhu ktk mambo ya chumbani na pengine hao wanaomfundisha ni chekechea kwake katika masuala ya mapenzi.
 
kusoma najua na lugha y apicha pia inaielewa

sasa ni hicho tu hufundishwa?? what makes u think thats the only 'training' tunapataga hapo?? hiyo si picha moja tu kwani ndo ina-cover the whole event??

Mi nafikiri mawazo yenu (bibi harusi mtarajiwa) huwa ni ...."hawa nao wanajiangaisha tu apa, nani hajui huo upuuzi,,,, wananichelewesha tu hapa,,,,fanyeni fasta mnipe hizo zawadi/vyombo mi nikaanzie maisha".

Kiukweli msingekua mnatoa vyombo, hakuna ambaye angekua anawaita kwenye shughuli hao makungwi.
 
kwann hiyo isiwe topic kuu hasa ukizingatia bibi harusi mtarajiwa amekubuhu ktk mambo ya chumbani na pengine hao wanaomfundisha ni chekechea kwake katika masuala ya mapenzi.

umehudhuria ngapi ukaona mada kuu ni mambo y achumbani tu na si heshima kwa mume??
 
umehudhuria ngapi ukaona mada kuu ni mambo y achumbani tu na si heshima kwa mume??


Tatizo hamnisomi fresh, mi nawaongelea wale ambao tayari ni wataalam/vicheche, kwann tena wanafundishwa hayo masuala?
 
Tatizo hamnisomi fresh, mi nawaongelea wale ambao tayari ni wataalam/vicheche, kwann tena wanafundishwa hayo masuala?

tayari ni wataalamu?!! wataalamu wa afya wenyewe wanakuwaga na semina sembuse..........
 
Jamani kwani akiwa kahaba aliyekubuhu ndio ana-make good wife?? Lazima kuna vinavyofundishwa ambavyo havihusiani na meza kuu!!

Nakumbuka kuna moja niliisikia mtu anafundwa kuwa mume ni mfalme tena wa kumheshimu na hata ukisikia ameachia hewa usicheke wala kuguna we jifanye kama hujasikia kisha taratiiiiibu toka nje ukaliteme "Pwaahaaaa" ukilisindikiza na tusi lolote unalojiskia kulitoa ila usiliseme kwa sauti.... kisha rudi taratibu na tabasamu paaana usoni likisindikizwa na darling, laaziz, sweetie, nyonda and you name it
 

HAHAAA!! Mamii u have made me imagine something very stupid here lol!!!
 
refresher courses..............!!!

exactly! hakuna mtu aliye perfect kwenye jambo lolote lile.no matter how smart u think u are kuna walio smartter na smartest.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…