Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
😁😁 mpe na Kifungu kabisa asomeKikatiba wewe ndio unaetakiwa kuridhishwa....
Unaonekana wewe ni mzoefu wa hiyo huduma mkuu, au wewe ni simbachawene umeingia kwa ID fake?Kama huna mpango wa kupunguziwa bei,usimridhishe
Duh!!Kikatiba wewe ndio unaetakiwa kuridhishwa....
Kabsa mkuu maana unawezajikuta cell[emoji16][emoji16] mpe na Kifungu kabisa asome
Apana,ila nkipata nafas huwa naitumia ipaswavyo mkuu.Unaonekana wewe ni mzoefu wa hiyo huduma mkuu, au wewe ni simbachawene umeingia kwa ID fake?
Hahahaha.alafu huwez amini mkuu,hawa watu nawaonaga tu kwny videoUnaonekana wewe ni mzoefu wa hiyo huduma mkuu, au wewe ni simbachawene umeingia kwa ID fake?
Ebwana nimecheka sana🤣🤣🤣🤣Kikatiba wewe ndio unaetakiwa kuridhishwa....