Hv hao wanaoshindia kwa ndugu Hela ya bando wanapataga wapi?Huwez pata michango ya hoja kwasabab 90% ya wanawake na wanaume na vijana wa humu JF wenye umri wa kujitegemea bado ni wavivu wajinga wanaishi kwa ndug zao na kwa wazaz wao wakitegemea kula na kulala bure bila kufanya kazi yoyote... Kazi yao kuzurura JF, twita, FB, IG na Wasap... Vipuuzi sana
Atatumika Kuokoa Bandari YetuMtoa mada una hoja, usikilizwe
NakaziaAtatumika Kuokoa Bandari Yetu
Wakifanya usafi vzuri waume wa dada zao huwapa buku buku za vocha kama dada zao wakifanya vzuri on bedHv hao wanaoshindia kwa ndugu Hela ya bando wanapataga wapi?
😁😁😁😁Acheni hzo! Vijana tunapambana kila sikuWakifanya usafi vzuri waume wa dada zao huwapa buku buku za vocha kama dada zao wakifanya vzuri on bed