Pre GE2025 Kuna umuhimu gani wa Wanawake kujiingiza katika Siasa kuanzia wakiwa Wadogo?

Pre GE2025 Kuna umuhimu gani wa Wanawake kujiingiza katika Siasa kuanzia wakiwa Wadogo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Ushiriki wa wanawake katika siasa kuanzia wakiwa wadogo ni hatua muhimu kuelekea kuleta usawa wa kijinsia katika uongozi na maamuzi.

Wanawake wanapohimizwa kujiingiza katika siasa tangu wakiwa na umri mdogo, wanaanza kujenga uelewa na uzoefu wa uongozi mapema, jambo linalowaandaa kuwa viongozi thabiti wa baadaye.

Kuwapa nafasi wasichana katika mijadala ya kisiasa, vikundi vya uongozi shuleni na vyuoni, pamoja na programu za uhamasishaji kuhusu haki za kisiasa, kunawajengea ujasiri wa kushiriki kwenye michakato ya kisiasa wakiwa na taarifa sahihi.

Pia, hili linasaidia kuvunja mila na desturi zinazoweza kuzuia wanawake kushiriki siasa kwa kiwango kikubwa.

Kwa kuanzisha ushiriki wao mapema, tunaunda kizazi cha wanawake wenye ujasiri na maarifa, ambao watakuwa tayari kuwania nafasi za uongozi na kushiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi kwa maslahi ya jamii nzima.

Hii pia inaongeza uwezekano wa kuwa na ushawishi mkubwa zaidi wa kisera kuhusu masuala yanayohusu wanawake na vijana.

Unadhani ni jambo jema Mabinti wadogo kuanza kujihusha na masuala ya Kisiasa?
 
Ushiriki wa wanawake katika siasa kuanzia wakiwa wadogo ni hatua muhimu kuelekea kuleta usawa wa kijinsia katika uongozi na maamuzi.

Wanawake wanapohimizwa kujiingiza katika siasa tangu wakiwa na umri mdogo, wanaanza kujenga uelewa na uzoefu wa uongozi mapema, jambo linalowaandaa kuwa viongozi thabiti wa baadaye.

Kuwapa nafasi wasichana katika mijadala ya kisiasa, vikundi vya uongozi shuleni na vyuoni, pamoja na programu za uhamasishaji kuhusu haki za kisiasa, kunawajengea ujasiri wa kushiriki kwenye michakato ya kisiasa wakiwa na taarifa sahihi.

Pia, hili linasaidia kuvunja mila na desturi zinazoweza kuzuia wanawake kushiriki siasa kwa kiwango kikubwa.

Kwa kuanzisha ushiriki wao mapema, tunaunda kizazi cha wanawake wenye ujasiri na maarifa, ambao watakuwa tayari kuwania nafasi za uongozi na kushiriki kikamilifu katika kufanya maamuzi kwa maslahi ya jamii nzima.

Hii pia inaongeza uwezekano wa kuwa na ushawishi mkubwa zaidi wa kisera kuhusu masuala yanayohusu wanawake na vijana.

Unadhani ni jambo jema Mabinti wadogo kuanza kujihusha na masuala ya Kisiasa?
mi nadhani sio siasa tu,
hata kupika, kuosha vyombo, usafi n.k ni vema wakaelekezwa, kufunzwa na kujihusisha na masuala hayo wakiwa wadogo ili hatimae wawe na msingi imara wa kupambana wenyewe lakini pia wawe na uwezo wa kujitegemea na kujiamini zaidi 🐒
 
mi nadhani sio siasa tu,
hata kupika, kuosha vyombo, usafi n.k ni vema wakaelekezwa, kufunzwa na kujihusisha na masuala hayo wakiwa wadogo ili hatimae wawe na msingi imara wa kupambana wenyewe lakini pia wawe na uwezo wa kujitegemea na kujiamini zaidi 🐒
wakiingia kwenye siasa hayo ya kupika na kuosha vyombo hayatakuwepo, wanawake wazuri kitandani hawatakuwepo, wapishi wazuri hawatakuwepo, maana watatumia muda mwingi siasani, wanawake wanaofaa kuwa akina mama hawatakuwepo, si mnakumbuka kuna mbunge alimruhusu mume wake kuoa mwanamke mwingine kisa yeye hataweza kumhudumia mumewe atakuwa bize, ndio yatakayokuwepo
 
wakiingia kwenye siasa hayo ya kupika na kuosha vyombo hayatakuwepo, wanawake wazuri kitandani hawatakuwepo, wapishi wazuri hawatakuwepo, maana watatumia muda mwingi siasani, wanawake wanaofaa kuwa akina mama hawatakuwepo, si mnakumbuka kuna mbunge alimruhusu mume wake kuoa mwanamke mwingine kisa yeye hataweza kumhudumia mumewe atakuwa bize, ndio yatakayokuwepo
hayatakuwepo kivipi na watoto wanatoka nyumbani kwa wazazi wao?

watoto wanashiriki michezo na tour mbalimbali vizuri tu lakini pia wako walioanza siasa watoto wadogo na hivi sasa ni watu wazima na wana maisha na familia zao na wanaendelea na siasa vizuri sana..

Imani potofu zinau vipaji vya watoto kwa namna ya ajabu sana..

kwasababu sasa hivi una hofu asifanye siasa, kesho utakua na hofu asisomee sheria ukihofia uchawi, lakini pia utahofia asiwe mwalimu, daktari, rubani n.k kwa imani potofu na useless fear of unknown 🐒
 
N
hayatakuwepo kivipi na watoto wanatoka nyumbani kwa wazazi wao?

watoto wanashiriki michezo na tour mbalimbali vizuri tu lakini pia wako walioanza siasa watoto wadogo na hivi sasa ni watu wazima na wana maisha na familia zao na wanaendelea na siasa vizuri sana..

Imani potofu zinau vipaji vya watoto kwa namna ya ajabu sana..

kwasababu sasa hivi una hofu asifanye siasa, kesho utakua na hofu asisomee sheria ukihofia uchawi, lakini pia utahofia asiwe mwalimu, daktari, rubani n.k kwa imani potofu na useless fear of unknown 🐒
Nakumbuka kuna mwanamama mmoja aliachana na mumewe Baada ya kupata ubunge
 
Aseee wanagongwa aseeee mpaka huruma ...Hawa wakike wa kwenye siasa ....acha kabisa..... Katika 10 unaweza Kuta wenye misimamo mmoja au wawili wengine wote WANAPUNDA wanapandwa vibaya mnoooo
hao wawili uwatoe wapi ukiwa na mke mwanasiasa changamoto, hata akiwa mwenyekiti wa serikali za mtaa huyo ataliwa na wajumbe tu
 
hayatakuwepo kivipi na watoto wanatoka nyumbani kwa wazazi wao?

watoto wanashiriki michezo na tour mbalimbali vizuri tu lakini pia wako walioanza siasa watoto wadogo na hivi sasa ni watu wazima na wana maisha na familia zao na wanaendelea na siasa vizuri sana..

Imani potofu zinau vipaji vya watoto kwa namna ya ajabu sana..

kwasababu sasa hivi una hofu asifanye siasa, kesho utakua na hofu asisomee sheria ukihofia uchawi, lakini pia utahofia asiwe mwalimu, daktari, rubani n.k kwa imani potofu na useless fear of unknown 🐒
unaongea kwa eksipirience au kwa ushabiki mkuu? asimilia kubwa ya wajumbe wa nyumba kumi kumi ni Singo mom's, yule mbunge aliyepata ubunge akamuacha mumewe, lakini mienendo ya wanawake wabunge, na hizi sio Iman potofu ni haya yanayoendelea
 
unaongea kwa eksipirience au kwa ushabiki mkuu? asimilia kubwa ya wajumbe wa nyumba kumi kumi ni Singo mom's, yule mbunge aliyepata ubunge akamuacha mumewe, lakini mienendo ya wanawake wabunge, na hizi sio Iman potofu ni haya yanayoendelea
kijana wangu wa kike naambatana nae kila mkutano wa chama jimboni na yupo kwenye uniformu za chama kama nilivyo mimi, nae ni kiongozi wa chipukizi kwenye tawi la chama na ngazi ya wilaya pia. shuleni kwao ni kiongozi na kanisani kwao ni kiongozi pia wa watoto wenzie. na hata nyumbani tukijisahau anatukumbusha na anatuongoza vema kwenye sala na maombi. :pulpTRAVOLTA:
 
Sio kwa mazingira ya sasa ya siasa za Tanzania yanayodhibitiwa na mfumo dume wa vyama hasa chama tawala. Jiulize wanawake wanaopata fursa za viti maalum bungeni na za uongozi serikalini wengi wanafikaje huko leo hii.

Labda tukifanikiwa kuwa na katiba bora na mifumo inayotoa haki sawa kwa wote inayoachia uwezo binafsi uamue nani awe kwenye nafasi ipi.

Hapo ndipo wanawake wataweza kupambana bila kutegemea hisani za mbazazi yaliyoko kwenye vyama na serikalini yaliyohodhi maamuzi ya kugawa fursa.
 
Back
Top Bottom