Nilihudhulia hafla ya kuapishwa kwa Mawaziri kule Ikulu ya Chamwino na nikaona jinsi press secretary Msigwa alivyoendesha lile zoezi la kuapishwa kwa mawaziri na Mheshimiwa Rais Samia.
Ni vizuri kuwapa nafasi viongozi wachache kutoa neno moja au mawili katika shuhuri kama hizo lakini sio kila mara na sio kila wakati kunapokuwepo na shuhuri za namna hiyo viongozi kama Spika , Waziri Mkuu, Jaji Mkuu na hasa hasa Makamu wa rais watoe hotuba.
Sometimes it becomes embarrassing kwa wahusika kwani watajikuta wanarudia maneno yale yale waliyosema siku mbili zilizopita kwenye hafla kama hiyo!!
Hafla yeyote inayomuhusu Rais, hiyo inakuwa nafasi yake yeye kuwa na platform ya kuzungumza na wananchi ;kama kuna kitu anataka kuwafahamisha.
Sio vizuri anapokuwepo Rais kumuomba makamu wake nae azungumze labda kwa yeye mwenyewe Rais kumtaka afanye hivyo. Hafla ya Rais ni platform yake ya kuzungumza, hao wengine yeye mwenyewe akitaka ataamuru hivyo.
RAIS NDIO MWENYE KUTOA NASAHA ZAKE KWENYE HIZO PLATFORMS. REMEMBER HAO WENGINE ARE SERVING AT HER PLEASURE!
Kumbuka Msigwa, enzi ya mwendazake hata siku moja sikumsikia makamu wake akitoa hotuba kabla yake hivyo usibadili utaratibu watu watakutafsiri sivyo na unga unaweza kumwagika!!
Ni vizuri kuwapa nafasi viongozi wachache kutoa neno moja au mawili katika shuhuri kama hizo lakini sio kila mara na sio kila wakati kunapokuwepo na shuhuri za namna hiyo viongozi kama Spika , Waziri Mkuu, Jaji Mkuu na hasa hasa Makamu wa rais watoe hotuba.
Sometimes it becomes embarrassing kwa wahusika kwani watajikuta wanarudia maneno yale yale waliyosema siku mbili zilizopita kwenye hafla kama hiyo!!
Hafla yeyote inayomuhusu Rais, hiyo inakuwa nafasi yake yeye kuwa na platform ya kuzungumza na wananchi ;kama kuna kitu anataka kuwafahamisha.
Sio vizuri anapokuwepo Rais kumuomba makamu wake nae azungumze labda kwa yeye mwenyewe Rais kumtaka afanye hivyo. Hafla ya Rais ni platform yake ya kuzungumza, hao wengine yeye mwenyewe akitaka ataamuru hivyo.
RAIS NDIO MWENYE KUTOA NASAHA ZAKE KWENYE HIZO PLATFORMS. REMEMBER HAO WENGINE ARE SERVING AT HER PLEASURE!
Kumbuka Msigwa, enzi ya mwendazake hata siku moja sikumsikia makamu wake akitoa hotuba kabla yake hivyo usibadili utaratibu watu watakutafsiri sivyo na unga unaweza kumwagika!!