Kuna umuhimu kwa Msigwa wa Ikulu kuangalia upya utaratibu wake wa kuongoza hafla za Rais

Una mshangaa huyu raia wa kawaida kuchanganya R na L? Kuna mtu aliwahi kuwa Rais wa nchi na alikuwa ana changanya hizo R na L ki kweli kweli! Vp uliwahi kumshangaa?
 
Msigwa ni miongoni mwa watu makini sana ktk kazi zake na pia ni mtu anaye ifahamu protokali vyema.
huwa naumona tu kwenye luninga.
"tone" yake tu imekaa kiprotokali, cool and politely
Hakika..

Huwa namuonea huruma akichomolewa sijui atafit wapi
 
Binafsi nakuelewa vizuri Sana,Mimi mpaka nikaingiwa na ukakasi makamu alipopewa platform ya kuongea naona akaanza kupiga "mabeat" pale wakati mwenye "shoo" Yuko pembeni...,Hii ikiendekezwa Kuna hatari ya subordinates kum"outshine" Rais kwa namna moja au nyingine kwenye Jambo flani Kama Rais hayuko smart (ila thanks God the current president is smart enough)
 
Who are you
 
Huyu naye amesimamia kidole gumba cha mguu wake, very soon Mama ataweka anayejua steps zake
 
Huenda ulikuwa na hoja nzuri ila sentensi yako ya mwisho umesema uongo!! Sijui kwanini muda mwingine huwa mnataka kuwaaminisha watu "pumba "as if huwa hawafuatilii. Mara kadhaa makam wa Rais amekuwa akizungumza alipokuwa kwenye hafla mbali mbali,


Usiongope!!
 
Ni utaratibu tu hata wakati wa Jiwe alikua anasema vivyohivyo kwa ruhusa yako sasa kiendeleee kitu flani , ama aongee mtu flani, lakini kwa utaratibu ulivyo anatakiwa na yeye awe yuko bench maana utawala wa jiwe ulishapita ndio maana bado ana hangover mara Mheshimiwa Dakta ,,,,, then anakumbuka kumbe sasa ni mama na sio jiwe , kwahiyo alitakiwa aondoke tu kistaarabu , kuna watu wengi wanaweza hiyo kazi tena wanawake
 
Msigwa ni binadamu na wale watu wapya km makamu na katibu mkuu kiongozi wamepewa nafasi angalau washukuru, spika na jaji pia washukuru maana wamepewa watu ( spika- wabunge na jaji- waziri wa sheria na katiba).
Kuhusu Msigwa kuchapia nako atajirekebisha, mbona rais mwenyewe alisema bunge la katiba tena mara mbili badala ya bunge la bajeti?
Tupendane.
 
Nahisi kwa nukta yako huu mjadala ungeishia hapa...

Watu watazidi kuharibia wenzao ugali humu
 
Kwa uelewa wako unadhani Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika na Jaji Mkuu wanakuwa hawapo kwenye ratiba kuzungumza ila Msigwa ndio anakuwa anawaona?

Heshimuni taaluma za watu.
 
Taasisi ya urais ni nyeti sana sio ya kuokota watu kisa wakifanya covarage kwenye kampeni zako...msigwa anapwaya sana kitengo cha mawasiliano ikulu.
 
Ni kweli maana wanakuwa hawana kipya cha kuongea ,hiyo ni shughuli ya Rais kuongea na wateuliwa
 
Mimi naunga mkono hoja ya mleta mada, Dr Mpango naye akapitiliza akaanza kutoa maagizo mbele ya bosi wake kwa kutumia platform ya bosi wake wala haikuwa na sababu na sikumbuki kama Marehemu Dr Omari,Dr Shein ama Dr Bilali waliwahi ku act hivyo (sijui lakini).
NB Mzee wa elfu mia kenda nae apunguze mbwembwe za lugha kidogo kwenye kuapa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…