pachachiza
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 1,863
- 2,757
Hata Yanga haijacheza bado mechi competitive za ugenini kama Mtibwa, Mbeya city, Azam, Ndanda, Mbao, Coastal Union, Lipuli, Stendi United na hata Simba.Ni vigumu kuiamini form ya Azam FC wawapo away!
Usiwape nafasi Azam FC kutwaa ubingwa.
Mshaanza kutuchagulia Timu za kutufunga tena,habari za Mikoani zimeisha?Hata Yanga haijacheza bado mechi competitive za ugenini kama Mtibwa, Mbeya city, Azam, Ndanda, Mbao, Coastal Union, Lipuli, Stendi United na hata Simba.
Yanga safari ya ubingwa ni ndefu sana.
Sijasema medhi za kufungwa bali mechi competitive mojawapo ni ya Simba na Azam mbiliMshaanza kutuchagulia Timu za kutufunga tena,habari za Mikoani zimeisha?