Mmmmm! Nafkr uigizaji tz unashuka ,ingawa kipato kinapada.Nilikuwa nafurahishwa na hivi vitu enzi zile za zamani za kina kaole,bishanga, swebe,sinta,jely,mzee kipara nk.Siku hizi kuna wauza sura zaidi.Ni bora niangalie tamthilia za zamani za itv,kuliko movi zenu za sasa