Mzalendo03
New Member
- Feb 18, 2025
- 2
- 5
Shule moja inaitwa Center for Education Plus Darasa la 4 miaka 9 wanakalishwa shuleni mpaka saa 11 Jumatatu mpaka Jumamosi wanafika nyumbani saa 1 usiku.
Huyu mtoto anasoma nini?. Ubongo wake umeshakomaa kukaa muda wote huu akisoma?. Sio sawa kabisa.. Angalau wangefanya mara 3 kwa Wiki.
Na weekend mtoto anatakiwa apumzike na ajifunze vitu vingine vya Art. Maisha sio Geographia na Historia. Tanzania mpaka leo hawajifunzi tuu.
Wanakimbizana na Shule kufanya vizuri kwa kuwakremisha watoto. Ili wao wapige hela Matokeo yake mtoto akimaliza shule awezi kufanya vitu vingine na anakuwa sio mbunifu .
Huyu mtoto anasoma nini?. Ubongo wake umeshakomaa kukaa muda wote huu akisoma?. Sio sawa kabisa.. Angalau wangefanya mara 3 kwa Wiki.
Na weekend mtoto anatakiwa apumzike na ajifunze vitu vingine vya Art. Maisha sio Geographia na Historia. Tanzania mpaka leo hawajifunzi tuu.
Wanakimbizana na Shule kufanya vizuri kwa kuwakremisha watoto. Ili wao wapige hela Matokeo yake mtoto akimaliza shule awezi kufanya vitu vingine na anakuwa sio mbunifu .