Kuna umuhimu wowote wa kuwa na Makamu wa Rais pamoja na waziri Mkuu nchini Tanzania?

Kuna umuhimu wowote wa kuwa na Makamu wa Rais pamoja na waziri Mkuu nchini Tanzania?

Piere. Fm

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2011
Posts
2,220
Reaction score
1,183
Jaman wana JF naomba tusaidiane katika hili hivi kuna umuhimu wa kuwa na makamu wa Rais pamoja na Waziri Mkuu Tanzania? Na kama upo ni kwa ajili ya kazi gani? Na Waziri Mkuu anafanya kazi gani? Maana sasa hivi kazi za Bilali nazozisikia ni kupokea wageni Ikulu na kupeleka salamu za rambirambi kwa balozi wa Japan nchin. Nisaimdieni katika hili jamani mimi mwenzenu sielewi!!
 
Back
Top Bottom