Kuna umuhiu gani wa UN kama mataifa mengi yamepiga kura vita ya Gaza isitishwe lakini bado Israel inaendelea kisa Marekani kapiga kura ya kumpa ruksa?

Kuna umuhiu gani wa UN kama mataifa mengi yamepiga kura vita ya Gaza isitishwe lakini bado Israel inaendelea kisa Marekani kapiga kura ya kumpa ruksa?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Licha ya mataifa makubwa kama Canada, Uingereza, Australia, Ujerumani na mataifa mengine ya ulaya hayakupiga kura lakini Marekani ilipiga kura wazi wazi kuisapoti Israel kuendeleza operesheni za kivita ukanda wa Gaza.

Hali hii ilileta matokeo ya kura nyingi hasa kutoka mataifa ya kiarabu kuamua vita isitishwe huku mataifa machache akiwemo Mamrekani kutaka vita iendelee isisitihwe,

lakini ajabu ni kwamba hadi sasa ni kama wingi wa kura hauna uzito, Israel anaendelea operesheni zake huku akijua kabisa uamuzi wa UN ni kumtaka asitishe, Ni jana tu hapo Israel imesambaratisha msikiti mkongwe zaidi wa Gaza.

Ni kwanini Maamuzi ya kura nyingi yasiheshimiwe ?
 
Una elimu gani kuhusu masuala ya kimataifa?

Mataifa matano yana kula ya turufu ambayo ni Marekani, Urusi,China, Ufaransa,na Uingereza.

Kula moja tu ya turufu ya nchi moja wapo inaweza kubatilisha kula za mataifa yote duniani.
 
Una elimu gani kuhusu masuala ya kimataifa?
Mataifa matano yana kula ya turufu ambayo ni Marekani, Urusi,China, Ufaransa,na Uingereza .
Kula moja tu ya turufu ya nchi moja wapo inaweza kubatilisha kula za mataifa yote duniani.
Indeed kukubalika ivo?
 
Hapo ndo ujiulize UN ni nini,inamtumikia nani?
Kwa kifupi ni genge la watu fulani hivi
 
Licha ya mataifa makubwa kama Canada, Uingereza, Australia, Ujerumani na mataifa mengine ya ulaya hayakupiga kura lakini Marekani ilipiga kura wazi wazi kuisapoti Israel kuendeleza operesheni za kivita ukanda wa Gaza.

Hali hii ilileta matokeo ya kura nyingi hasa kutoka mataifa ya kiarabu kuamua vita isitishwe huku mataifa machache akiwemo Mamrekani kutaka vita iendelee isisitihwe,

lakini ajabu ni kwamba hadi sasa ni kama wingi wa kura hauna uzito, Israel anaendelea operesheni zake huku akijua kabisa uamuzi wa UN ni kumtaka asitishe, Ni jana tu hapo Israel imesambaratisha msikiti mkongwe zaidi wa Gaza.

Ni kwanini Maamuzi ya kura nyingi yasiheshimiwe ?
VETO.....90% UN funded na US....UK...EU
 
Acheni watu wapigane na mwenye nguvu ashinde ili nidhamu iwepo. That's all.
 
Licha ya mataifa makubwa kama Canada, Uingereza, Australia, Ujerumani na mataifa mengine ya ulaya hayakupiga kura lakini Marekani ilipiga kura wazi wazi kuisapoti Israel kuendeleza operesheni za kivita ukanda wa Gaza.

Hali hii ilileta matokeo ya kura nyingi hasa kutoka mataifa ya kiarabu kuamua vita isitishwe huku mataifa machache akiwemo Mamrekani kutaka vita iendelee isisitihwe,

lakini ajabu ni kwamba hadi sasa ni kama wingi wa kura hauna uzito, Israel anaendelea operesheni zake huku akijua kabisa uamuzi wa UN ni kumtaka asitishe, Ni jana tu hapo Israel imesambaratisha msikiti mkongwe zaidi wa Gaza.

Ni kwanini Maamuzi ya kura nyingi yasiheshimiwe ?
Hujasoma historia mkuu.

Hujui Kama Kuna mataifa yenye Kura ya veto?

Hujiulizi kwanini hao wengine wa magharibi hawakupiga Kura?
 
Back
Top Bottom