Kuna usajili mzito unaendelea Salamander, nchi kutikisika

Kuna usajili mzito unaendelea Salamander, nchi kutikisika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Naam hali ni tete sana kwa simba kwani usajili unaoenda kutangazwa muda wowote huko jangwani si wa mchezo mchezo nchi itatikisika na utaacha vilio vikubwa sana hapo Simba.

Tajiri mwenyewe Ghalib anahusika hapa kwani amekuwa akimpigia simu muhusika na kukutana naye mara kwa mara hotelini.

Inasemekana atapewa milioni 60 , Vx na kupangiwa nyumba masaki kama alhaji albino, ama kwa hakika kitengo cha habari cha yanga kinaenda kuwa na makali yasiyo na mfano.

*Hongereni sana Yanga hapo mmelamba dume, huo ndiyo uongozi wenye uweledi chini ya Genius Senzo, wengine wakajifunze.

hapo bado sijazungumzia dau la millions 500 atakalopewa Diamond platnumz kuhamia yanga na kusherehesha week ya wananchi

******************************

mwijaku.JPG
jaku.JPG
 
Naona GSM ndo anawapenda Machawa
Bakhresa na Mo kama vile wamewafungia viio
 
Mwijaku kwenye soka mtupu kabisa hana alijualo hata kuongea kisoka anapoizungumzia timu pia hajui.
 
Naam hali ni tete sana kwa simba kwani usajili unaoenda kutangazwa muda wowote huko jangwani si wa mchezo mchezo nchi itatikisika na utaacha vilio vikubwa sana hapo simba

Tajiri mwenyewe Ghalib anahusika hapa kwani amekuwa akimpigia simu muhusika na kukutana naye mara kwa mara hotelini

Inasemekana atapewa milioni 60 , Vx na kupangiwa nyumba masaki kama alhaji albino, ama kwa hakika kitengo cha habari cha yanga kinaenda kuwa na makali yasiyo na mfano

*Hongereni sana Yanga hapo mmelamba dume, huo ndiyo uongozi wenye uweledi chini ya Genius Senzo, wengine wakajifunze

hapo bado sijazungumzia dau la millions 500 atakalopewa Diamond platnumz kuhamia yanga na kusherehesha week ya wananchi

***************************************************


View attachment 2292102View attachment 2292107
Kwahyo Mwijaku ndo atatikisa nchi?? Mashabiki wa Yanga kuna minara ya network kichwani haipo sawa
 
Back
Top Bottom