blackertheberry
New Member
- Jun 7, 2021
- 4
- 6
Ndugu, nakuomba uje PM unipe mwongozo. Nahitaji sanaNimeanza kununua kuanzia January 21 na nikutoe waswasi ni salama kabisa na ukinunua baada ya muda usiozidi wiki mbili unakua umeshapata cheti chako cha umiliki wa hisa. Ni salama na nakushauri anza sasa...
Nashukuru kwa offer. Ila sipendi PM uliza lolote hapa hapa nitakusaidia niwezavyo kwa msaada wa wengi. KaribuNdugu, nakuomba uje PM unipe mwongozo. Nahitaji sana
hebu leta somo hatamie nlikuwa sijui unaweza nunua hisa onlineNashukuru kwa offer. Ila sipendi PM uliza lolote hapa hapa nitakusaidia niwezavyo kwa msaada wa wengi. Karibu
Nimeanza kununua kuanzia January 21 na nikutoe waswasi ni salama kabisa na ukinunua baada ya muda usiozidi wiki mbili unakua umeshapata cheti chako cha umiliki wa hisa. Ni salama na nakushauri anza sasa...
Nimeona DSE wana mfumo wa kuuza na kununua hisa online. Huwa natamani sana kuingia kwenye huu uwekezaji maana naweza kuweka pesa zangu ndogondogo huko badala ya kuzitumia ovyoovyo. Siwezi kwenda kwa broker kununua hisa ya elfu kumi. Online inakuwa rahisi zaidi. Je, kuna mtu anafanya hii au alishawahi kujaribu? Ni salama? Maana nchi yetu na technology vinachengana sana.
Nimeanza kununua kuanzia January 21 na nikutoe waswasi ni salama kabisa na ukinunua baada ya muda usiozidi wiki mbili unakua umeshapata cheti chako cha umiliki wa hisa. Ni salama na nakushauri anza sasa...
Kuna sehem unaset offer uloweka iwe active kwa muda gana siku 1,wiki 1 etc. ikiwa utafanya malipo kila kitu na offer ikose muuzaji mzigo wako unarudi na ikiwa utafanikiwa utapata taariva via your broker. Kama unatumia app na lain unayotumia kulipa iko kwa simu husika maliza kila kitu utaona button ya PUSH TO PAY ukiclick apo moja kwa moja M-Pesa inaPop ikiwa imeshapick taarifa zote wewe ni kuthibitisha kwa kubonyeza 1 na deal DONE.Mkuu, kwanza kabisa Shukrani kwa kunitoa wasiwasi kwenye hili. Lakini nimekwama sehemu moja na naomba msaada zaidi; nimeweza pale kuchagua hisa nazotaka kununua na kiasi nikaweka pamoja na offer yangu, nikaletewa controll namba kwa ajili ya malipo, swali langu; je nikishalipia ina maana nakuwa nishapata tayari hizo hisa au hadi offer yangu ikubaliwe kwanza ndo napata hizo hisa? Na offer yangu isipokubaliwa narudishiwa pesa yangu ama vipi?
Natanguliza shukrani
Mkuu jana nili download app ya Hisa kiganjani ya DSE ili nijifunze haya maswala. Katika kujisajili nikakwama pale kwenye details za CSD Account number na PIN. Nimejaribu kupiga namba zao hazikupokelewa.Kuna sehem unaset offer uloweka iwe active kwa muda gana siku 1,wiki 1 etc. ikiwa utafanya malipo kila kitu na offer ikose muuzaji mzigo wako unarudi na ikiwa utafanikiwa utapata taariva via your broker. Kama unatumia app na lain unayotumia kulipa iko kwa simu husika maliza kila kitu utaona button ya PUSH TO PAY ukiclick apo moja kwa moja M-Pesa inaPop ikiwa imeshapick taarifa zote wewe ni kuthibitisha kwa kubonyeza 1 na deal DONE.
Ni rahisi mnoo...... maelezo yangu yanaeza kuwa marefu ila n process rahisi sana. Nadhani nimekujibu swali lako
Hizo details unazipata ukishafungua account.. wanakutumia zote unakua unaingiza tu. Fata link hiyo kujiunga nao MTPMkuu jana nili download app ya Hisa kiganjani ya DSE ili nijifunze haya maswala. Katika kujisajili nikakwama pale kwenye details za CSD Account number na PIN. Nimejaribu kupiga namba zao hazikupokelewa.
Kindly, unaweza kunielekeza what exactly ni CSD account na PIN unaipataje?
hisa 10Kiwango cha chini cha hisa unachoweza kununua ni kiasi gani?
Ninashukuru.hisa 10
Mfano DSE nimeona naye anauza hisa. Kwa uelewa wangu, DSE hafanyi biashara. Hii inakuaje?
DSE ni kampuni ambayo nayo ipo listed kwen soko la hisa..Mfano DSE nimeona naye anauza hisa. Kwa uelewa wangu, DSE hafanyi biashara. Hii inakuaje?
Ile ni kampuni, inahitaji mtaji kama kampuni ikizozisajili.Je kuna ristrictions ya frequency ya kununua hisa kwa siku/mwezi?