hamna lolote
satnd for yr own
mam alimchagua baba kwaraha zako
sasa habar za kuchaguliana dahh wkt wewe swala unaenda kutafutiwa kobe au jongoo sijui mtarandana vp apo....
umechaguliwa leo kesho mama kafa na uyo mke akawa si mke bali balaa mlev,anagawa nje,hakupikii na wala haukueshimu itakuwaje?
oa yule unayemjua +unamfili na ambaye umeish nae km galfrend kwakipind so umemsoma vya kutosha ....lakin izo swaga za mama kakutafutia kigor maziwa yamesimama km jek babu utalia mwsho wa siku
mweleweshe mama...omba wazee wakaongee na mama bt usithubutu kuoa ili kumridhsha mama cz uyo mke ni wakwako si wa mama.
asante..na karibu kahawa