A
Anonymous
Guest
Mim ni mmoja wa wahanga katika kukopa mkopo katika taasisi ya fedha ya kukopesha inayoitwa Bayport Financial Service ambapo ni mwezi sasa toka nilipoomba mkopo mpaka rejesho la kwanza limefanyika ila hawajaweza kutoa huo mkopo.
Sasa ni kitu kinachoshangaza sana na kitu kama hicho ni kama utapeli tu haiwezekani umkate mtu mkopo hali ya kuwa hujampa mkopo na mamlaka husika kama BoT kulikalia kimya hili suala wakati ni kinyume na taratibu za huduma za fedha.
Sasa ni kitu kinachoshangaza sana na kitu kama hicho ni kama utapeli tu haiwezekani umkate mtu mkopo hali ya kuwa hujampa mkopo na mamlaka husika kama BoT kulikalia kimya hili suala wakati ni kinyume na taratibu za huduma za fedha.