Ashrafu joseph
New Member
- May 26, 2024
- 1
- 5
Hivi jamani huu utapeli wa mtu anasema amekutumia mzigo kutoka London halafu anakwambia upo kenya ni mimi tu niliona au kuna mwingine naye kauona?
Aliyekutana nao aniambie yeye ilitumika kampuni gani kwenye usafirishaji.
Aliyekutana nao aniambie yeye ilitumika kampuni gani kwenye usafirishaji.