Igayo jr
Member
- Jun 25, 2020
- 97
- 98
Habari!
Swali langu ni hilo, napenda kuelewa ni namna gani au sheria za Uchaguzi zinaruhusu kwa upande wa Bara kuweza kushiriki uchaguzi kwa kumchagua Rais katika kituo tofauti na nlichojiandikisha? Mwaka huu ni wa historia kwa nina jambo langu langu hapo baadae 28 Oktoba, kwa hiyo kwa mazingira yangu na si mimi tu wapo wengi wameniagiza kuuliza hili itakuwa vigumu sana kufika jimboni kwangu.
NB: Nashiriki kwa mara ya kwanza Uchaguzi huu kwa kupiga kura, hivo nahitaji mwongozo sahihi maana elimu ya mpiga kura hakuna kabisa huku mtaani.
Swali langu ni hilo, napenda kuelewa ni namna gani au sheria za Uchaguzi zinaruhusu kwa upande wa Bara kuweza kushiriki uchaguzi kwa kumchagua Rais katika kituo tofauti na nlichojiandikisha? Mwaka huu ni wa historia kwa nina jambo langu langu hapo baadae 28 Oktoba, kwa hiyo kwa mazingira yangu na si mimi tu wapo wengi wameniagiza kuuliza hili itakuwa vigumu sana kufika jimboni kwangu.
NB: Nashiriki kwa mara ya kwanza Uchaguzi huu kwa kupiga kura, hivo nahitaji mwongozo sahihi maana elimu ya mpiga kura hakuna kabisa huku mtaani.