Uchaguzi 2020 Kuna utaratibu gani wa kufuata kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Rais katika kituo ambacho hujajiandikisha kwa huku Bara?

Hajajibu kwa jazba ila huo ndio ukwel au unataka udanganywe.?
Navojua utaweza kupiga kwa rais tuu

Hata Urais awezi piga kwakuwa hayuko kwenye orodha ya wapiga kura wa kituo husika!
 


Wacha kupotosha,.
kura ya Uraisi unapiga popote chamuhimu kuna fomu wanpaswa kukupa uijaze ndipo upige, tatizo ni hiyo fomu kupewa au kuipata ndio mbinde.
 
Hasira ya bure, huyu alikuwa aipigie ccm lakini kwa kumfokea namna hii kama wanavyofanya wagombea wenu kwa wapiga kura wengine, kaghairi na kasema atasafiri aende pale alipojiandikisha kisha atamchagua Lissu.
 
Hasira ya bure, huyu alikuwa aipigie ccm lakini kwa kumfokea namna hii kama wanavyofanya wagombea wenu kwa wapiga kura wengine, kaghairi na kasema atasafiri aende pale alipojiandikisha kisha atamchagua Lissu.
Angalia tena vzr ulichoandika na u-edit kbl cjasema umeandika utopolo
 
Sehemu pekee ya kutimiza wajibu wako ni katika kituo ulichojiandikishia, ndio kinataarifa zako zitakazokupa haki ya kupiga kura kwa diwani, mbuge na rais na si vinginevyo.
 
Uliendaje kuandika jina bila kupewa kitambulisho kipya mkuu??

Kwenye hayo maboresho ukibadili taarifa walikua wanatoa Voter’s ID card mpya nadhani

Muda wa kubadili voter ID ulitolewa lakini nilikuwa safarini nikachelewa nikakuta muda umeshaisha.

Ndipo tulipotangaziwa kwenda kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura ndo nikaenda kujiandikisha ila kitambulisho changu sio cha eneo hilo. Ndo maana nauliza nitaweza kupiga kura?
 
Utatakiwa kupiga kura kumchagua raisi ila sio diwani au mbunge wa hilo jimbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…