Kuna utaratibu uliotolewa na wizara ya elimu kupanga kiwango cha mchango wa chakula kwa shule za msingi?

Kuna utaratibu uliotolewa na wizara ya elimu kupanga kiwango cha mchango wa chakula kwa shule za msingi?

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Je, kuna utaratibu uliotolewa na wizara ya elimu kupanga kiwango cha utoaji wa mchango wa chakula kwa shule za msingi uwe hivi kwa shule za serikali zote? Maharage dum la 3, mahindi dum la 12 na hela sh20,000 tena zitolewe kwa mara moja.

Kama ndiyo, Serikali haioni ni mzigo kulipa haya kwa mkupuo badala ya kuweka ktk awamu?
 
Chakula mashuleni kigharimiwe na Serikali, uwezo huo upo nina HAKIKA.
 
Tuyajuwe haya mzigo kwa wazazi mkubwa heri mtoto ale home.unakuta wakati mwingine mtoto anaenda shule sa4amashakula je chakula tena cha nini wakati sa8anakuta tena chakula nyumbani si kuwaharibu afya huku,?
 
Back
Top Bottom