MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 707
Nauliza swali.
Je, kuna utaratibu wowote ule ulioandaliwa kupata matokeo ya upigaji kura, kadri kila kituo kitakavyokuwa kinatoa taarifa zake, kwenye Internet, ili kuwe na uhakiki na ulinzi mzuri zaidi wa matokeo hayo?
Ninasema hivi kwa kuwa, matokeo yakishatangazwa kwenye kituo, uchakachuaji usifanyike tena popote pale. Je, tumejipanga?
Wanaweza hata kubandika matokeo kwenye kuta za vituo, yakiwa na signature za mawakala wote na wasimamizi wa vituo. Lakini, wanaweza tena kubadilisha kwa minajili kwamba makosa yalifanyika. Hawa watu wako makini, na sisi tuwe makini zaidi.
Je, mpango huu ulifanyika? Ni rahisi hata kufungua special page, ndani ya JF, watu wakawa wanaripoti kutoka kituo hadi kituo. Mimi niko tayari kushughulikia VITUO VYOTE vya Jimbo la Kawe. VYOTE. Nitajitolea muda wangu. Naweza pia kuwa natuma data kwa njia ya SMS, kwa Mods, kisha wao waziweke online.
Matokeo yanaweza kuwa kwa mfumo wa Thread pia. INAWEZEKANA! TENA NI RAHISI SANA!
Je, kuna utaratibu wowote ule ulioandaliwa kupata matokeo ya upigaji kura, kadri kila kituo kitakavyokuwa kinatoa taarifa zake, kwenye Internet, ili kuwe na uhakiki na ulinzi mzuri zaidi wa matokeo hayo?
Ninasema hivi kwa kuwa, matokeo yakishatangazwa kwenye kituo, uchakachuaji usifanyike tena popote pale. Je, tumejipanga?
Wanaweza hata kubandika matokeo kwenye kuta za vituo, yakiwa na signature za mawakala wote na wasimamizi wa vituo. Lakini, wanaweza tena kubadilisha kwa minajili kwamba makosa yalifanyika. Hawa watu wako makini, na sisi tuwe makini zaidi.
Je, mpango huu ulifanyika? Ni rahisi hata kufungua special page, ndani ya JF, watu wakawa wanaripoti kutoka kituo hadi kituo. Mimi niko tayari kushughulikia VITUO VYOTE vya Jimbo la Kawe. VYOTE. Nitajitolea muda wangu. Naweza pia kuwa natuma data kwa njia ya SMS, kwa Mods, kisha wao waziweke online.
Matokeo yanaweza kuwa kwa mfumo wa Thread pia. INAWEZEKANA! TENA NI RAHISI SANA!