Jana usiku wakati naongea na moja ya ndugu zangu anaishi kisemvule kwa pembe au wanaita kisemvule mpera.
Tumeongea mengi pamoja na salamu za hapa na pale akanisimulia kuwa huku baba hali imebadilika sana kuna hali ya sitofahamu watu tunaishi kwa mashaka sana na watoto zenu.
Kwa sababu hivi karibuni kuna baadhi ya watoto walikuwa wanapotea katika mazingira ya kutatanisha na kuokotwa wakiwa wamekufa na tayar ikiwa wametolewa viungo kama Figo na moyo pamoja na sehemu za siri.
Aiseee sikuamini hii cenario lakin ni vitu ambavyo vinatokea katika dunia ya sasa na hizi zote ni dalili za ushirikina tu hakuna kingine zaidi
Akazidi kuenda mbali zaidi na kupeleka law ama kwa wanasiasa na serikali kwa ujumla ya kuwa kwa nini uchaguzi ukifika vitendo kama hivi viovu vinashamiri sana sana. Na hakuna mtu anaeshikwa na hata Doria tu za kawaida kuona kama serikali imeguswa na hili suala pia hakuna.
Kama watanzania tumepoteza utu sana mpaka kufikia mtu kutoa roho ya kiumbe kwa maslahi madogo sana
Tumeongea mengi pamoja na salamu za hapa na pale akanisimulia kuwa huku baba hali imebadilika sana kuna hali ya sitofahamu watu tunaishi kwa mashaka sana na watoto zenu.
Kwa sababu hivi karibuni kuna baadhi ya watoto walikuwa wanapotea katika mazingira ya kutatanisha na kuokotwa wakiwa wamekufa na tayar ikiwa wametolewa viungo kama Figo na moyo pamoja na sehemu za siri.
Aiseee sikuamini hii cenario lakin ni vitu ambavyo vinatokea katika dunia ya sasa na hizi zote ni dalili za ushirikina tu hakuna kingine zaidi
Akazidi kuenda mbali zaidi na kupeleka law ama kwa wanasiasa na serikali kwa ujumla ya kuwa kwa nini uchaguzi ukifika vitendo kama hivi viovu vinashamiri sana sana. Na hakuna mtu anaeshikwa na hata Doria tu za kawaida kuona kama serikali imeguswa na hili suala pia hakuna.
Kama watanzania tumepoteza utu sana mpaka kufikia mtu kutoa roho ya kiumbe kwa maslahi madogo sana