Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Kwanini 🤣Babu mbishi
Hata kama age gap ni 30 years, bado Nina imani na Tyson 😁kwa lile Tizi analopiga Mike Tyson akipigwa nitashangaa ila warabu saizi hawataki mchezo wamemrudisha Mike Tyson uringo kweli Pesa Sabuni ya Roho
Anajazilizia palipopunguaBabu mbishi
naonaga clip zake za mazoezi yule mzee ana mwili mwepesi sana anarusha Ngumi kama Mvua na ulevi wote ule aliowahi pitia lakini fitness yake ni kubwa kiasi kile kweli nimeamini mazoezi ni Mtaji wa Afya ya BinadamuHata kama age gap ni 30 years, bado Nina imani na Tyson [emoji16]
Kabisanaonaga clip zake za mazoezi yule mzee ana mwili mwepesi sana anarusha Ngumi kama Mvua na ulevi wote ule aliowahi pitia lakini fitness yake ni kubwa kiasi kile kweli nimeamini mazoezi ni Mtaji wa Afya ya Binadamu
Jamaa anataka kulipa kisasi 🤣
TutaonaTyson ipo siku atakuja kufia uwanjani, kazi na umri.