Kuna uwezekano Fiesta ikasogezwa mbele

Kuna uwezekano Fiesta ikasogezwa mbele

joseph1989

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
17,420
Reaction score
35,765
Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana lile tukio limetengenezwa ili kusogeza mbele tarehe ya tukio la Fiesta
 
Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana lile tukio limetengenezwa ili kusogeza mbele tarehe ya tukio la Fiesta
wewe kijana ni wakufungiwa mara moja
 
Aiseee hata mm nna waswas na ruge
Hili tukio n la kusogeza fiesta mbele
Maana Hawa jamaa Kwa kutengeneza kik hawajambo yan
 
Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana lile tukio limetengenezwa ili kusogeza mbele tarehe ya tukio la Fiesta

We nawee!
 
Hivi jamani mbona katika tafuta tafuta yangu, sijaona hata picha za moshi za hilo jengo likiungua, pale si kuna CCTV camera (refer tukio la makonda) , ila nina taarifa sio rasmi lkn inasemekana lile tukio limetengenezwa ili kusogeza mbele tarehe ya tukio la Fiesta
Wanaweza wakakutukana huku lakin hata mm nahis hvyo,,na wakisogeza nasi tunasogeza tamasha letu la bure,hyo inaitwa Mbwa kala Mbwa
 
Hata kama ni kweli mi sioni tatizo...ukiwa mfanya biashara lazima uwe mbunifu vinginevyo unaweza kuambulia hasara wakat ulikua n uwezo w kuiepuka.
 
Back
Top Bottom