William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
- Thread starter
-
- #21
Jibu kwa Takwimu sio propaganda. Tuko na inshu siliasi. ELIMU bila m alipo bajeti yake NI billion 130 kwa mwaka kwa miaka 5ni bilion 650. Flyover hazifikishi ata bilion 50. Hajaunda meli ata moja amekarabati tu zilizopo kwa pesa madafu. Nazani huijui tillion wewe. Tilion isikie tu.Ujenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Wakijibu hili hawa wahuni and co nishtueSSH amekopa 10trl kwa miezi 6, mnajaribu kutetea huu ujinga?
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.
Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.
Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?
Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Jibu Kwa HESABU kama mwenzako alivyotiririsha HESABU ZAKE. JE hiyo miradi unayosema HESABU yake Ina fika trillion 29??? Fahamu trillion moja ni billion 1000Tumia akili kidogo basi.
Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?
Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?
Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.
Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?
Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .
Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.
Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Kuna mambo umesema uongo, mradi wa maji kutoka Mwanza hadi Shinyanga ni kazi ya Benjamin Mkapa,Waziri wa kipindi kile alikua Edward Lowassa!
Maji yakutoka mwanza, shinyanga, kahama,nzega hadi igunga,bado hayajafika Singida!
Pia usidhani watu hawana takwimu,hakuna zahanati iliyojengwa kila kata!
Maji bado ni shida,jaribu kutembea watu wanatumia maji ya mtoni,wengine wanasubiri mvua inyeshe,halafu wachote yale yanatwaama barabarani!
Elimu bila ada its easy and no changes sababu walimu ni wale wale wanalipwa mshahara ule ule hata kama elimu ingekuwa sio bure so hauhitaji kukopa trillions for that. Magu was not a good person dhurumatiUjenzi Chatto, makao makuu Dom, ununuzi ndege cash' elimu bila ada, ujenzi meli, rada, fly over, mambo mengi ila kama Urais maana yake kukopa na kujenga unavyojisikia, ni tatizo!
Thread za Magu za kumchafua zipo nyingi sana mmetumana!!?Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.
Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.
Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?
Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
SSH amekopa 10trl kwa miezi 6, mnajaribu kutetea huu ujinga?
Duhh.... Hatari kwelikwelii. Em ngoja tuone.Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.
Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.
Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?
Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Umejibu kishabiki sana. Inaonekana huna uelewa wowote. Aheri ungekaa kimya.Tumia akili kidogo basi.
Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?
Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?
Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.
Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?
Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .
Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.
Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .
Hapa hatuchafui Wala kusifu mtu. Hakutaka watu wamkosoe akiwa madarakani ndio maana tutahoji Sana Sasa. Alafu alilofanya Kazi nao wapo. Kama tulikosea lazima tujadili tujue tulikosea wapi tujirekebishe Kama taifa. Tusiposema Mama atarudia makosa yaleyaleThread za Magu za kumchafua zipo nyingi sana mmetumana!!?
ww ile miradi unadhani wamejenga kwa buttock zako!
Ndiyo maana ni muhimu kufanya auditing ya matumizi ya hii pesa. Huenda ipo nje ya Tanzania.Lakini si kaondoka?
Itakuwa kaziacha,nina Hakika hajaenda nazo,
Basi tuzichukue tu[emoji1787]
Hahahaha hawa jamaa wanalazimisha Mwendazake awe Saint. Hata kwa akili ya kawaida 10T ndani ya miezi 6 haiwezekaniWazee Wa Legacy Naona Unataka Ngoma Droo[emoji23][emoji23]
Kwa mujibu wa Takwimu zinazotolewa Sasa na makada, Mawaziri waliopita na watu tofauti Magufuli ndio Raisi aliyekopa fedha nyingi kuliko Raisi yoyote Tanzania ingawa kaongoza muda mfupi. Je fedha zake alifanyia Nini?
Takwimu hazidanganyi.
Inasemekana alikopa tilion 29.
Kwa fedha hizo zilitosha kujenga reli dar to kigoma pamoja na bwawa la Mwalimu nyerere, kununua ndege na chenchi zingebaki tukagawana.
Sababu reli ingegarimu tilion 16, bwawa la nyerere tilion 6. Ukarabati shule kongwe bilion 100.
Lakini mpaka Sasa miradi hiyo haijafika kokotee. Je fedha ziliilipigwa? Au zilienda wapi. Tupate uhalisia.
Mama juzi kachukua tilion Moja tu. Lakini kila mtanzania Anaweza kuona kwa macho pale alipo madarasa , shule mpya na zahanati na vituo vya Afya kila kona.
Hapa hatumsimangi Ila tuwe wakweli. Ukisema stendi ya Mbezi na ya dodoma. Takwimu hazidanganyi. Stendi ya mbezi imegharimu bilion 50 tu. Tilion 1 ingejenga stendi Kama hizo 20 tanZania nzima. Sasa t.. 29 alifanyia Nini? Soko la Dodoma na stendi gharama yake NI billion 35 tu. Yani Tillion 1 NI soko na stendi Kama ya dodoma 30. Na soko na stendi ya Mwanza mradi aliusitisha kabisa mama ndio kaanza nao. Jamani tilion sio mchezo 29 alipeleka wapi? Dalaja la wami NI b 66tu na kaliachs bado. Tilion NI bilion 1000. Faraja la busisi NI billion 600. Hilo ndio nusu tilion. Kifupi ukichukua madaraja. Yote, masoko na stendi alipojenga na kufikia bado haifiki tilion 1. Hizo 28 zilifanya Nini.
Kikwete miaka 10 tilion 20. Kaunganisha kilometa 10,000 za Rami ambazo gharama yake NI Tillion 9 hivi. Yani unaona.
Yeye hajajenga hata km 1000tu za Rami. Sasa hizo tilion 29 tulipigwa?
Mnakjibu mje na takwimu halisi sio ushabiki. Usiwe tulipewa mikopo ya kichina. Unachukua billion 100 unaandikiwa billion 10000.
Ukifuatilia takwimu magufuli alikopa 13trln ndani ya miez 12 yaan 2016/2017 hivyo hakuna mtakacho jaribu kongopea watu hebu rejea takwimu acheni upotoshajiSSH amekopa 10trl kwa miezi 6, mnajaribu kutetea huu ujinga?
Kulia lia na yaliyofanyika wakati wa Magufuli hakusaidii kitu, yeye alisema anafanya kurekebisha yaliyotendeka kabla yake.Sasaivi tunauliza za Magufuli kwanza. Za Samia tunazojua NI 1.3. lazma tuanze kujifunza kuhoji.
Hahahaha hawa jamaa wanalazimisha Mwendazake awe Saint. Hata kwa akili ya kawaida 10T ndani ya miezi 6 haiwezekani
ukipiga hesabu na hivyo vitu ulivyovitaja haifiki trion 29Tumia akili kidogo basi.
Hivi wewe huoni madaraja aliyoyajenga Magufuli? Stendi mpya mikoa karibu yote na wilaya zake huzioni? Ukianzia na ya mbezi Dar?
Huoni miladi ya maji kila kaya? Huoni maji yalovutwa kutoka ziwa Victoria kwenda Tabora Nzega ,Shinyanga,Singida maji kila kaya inabomba?
Mimi mwenyewe ni shahidi maji hayo yamepita kijijini kwetu na kwenye ardhi yetu na sisi tumevuta maji na umeme pia.
Ukuta wa Mererani hata huo huuoni?Sasa ulitaka hizo pesa zitumike huko mijini peke yake?
Zahanati na vituo vya afya kila kata na kijiji nazo pia huzioni? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ungesema Kwa upande wa Watumishi hasa waalimu kwenye nyongeza za mishahara na madaraja aliyapa kisogo pamoja na Demokrasia ya kweli.Ni hayo tu .
Kwenye kuleta maendeleo Magufuli hana mpinzani kuanzia serikali ya pili hadi ya sasa hana wa kumlinganisha naye.
Magufuli alituheshimisha.
Dunia ilisimama.Dunia ilitambua uwepo wa Serikali ya Tanzania .