CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
sana ndugu yangu kama vile nimetupiwa kwenye pipa lenye acidunateseka?
relax! thats footballsana ndugu yangu kama vile nimetupiwa kwenye pipa lenye acid
Mkuu usiteseke sana acha iendelee kunyesha ili tujue panapovujaKAMA MADUKA yataendelea kupewa nafasi za kujimwamwaya na ma libero kama Wawa wanaokataa kuruka juu wataendelea kuchekewa basi tutarajie maumivu makubwa huko shirikisho sababu hadi sasa kuna uwezekano mkubwa Rs berkane au Fs rabat(nafikiri wamefuzu) kuja kuua nyoka kwa lupaso
Mimbio ya kisinda na ule uuzaji duka tuliouona upande wa kulia jana tutarajie kuzomewa na wana utopwinyo hadi tulie machozi ya damu ila one thing for sure najua hizo mechi mashabiki watazisusia unless TUONE SOME REAL CHANGES
Kama namuona clatous chama atakavyokuwa anampiga makanzu pascal wawa, uwiii Mungu tuepushe na fedheha inayokuja
Yaani unateseka kumshinda Msemaji wako Mwijaku ambaye aliahidi kutembea uchi iwapo timu yenu itafungwa, na kushindwa kufanya hivyo mara tu baada ya kichapo cha mbwa mwizi!sana ndugu yangu kama vile nimetupiwa kwenye pipa lenye acid
Wewe ni mwananchi unaejielewaTulia mkuu
Tuulize sisi yanga tumeizoeaje hii Hali ya kufungwa fungwa kimataifa sis hutujawah shinda mechi yoyote ya kimataifa mwaka wa tano huu
..njoo upate uzoefu...
sana ndugu yangu kama vile nimetupiwa kwenye pipa lenye acid
KAMA MADUKA yataendelea kupewa nafasi za kujimwamwaya na ma libero kama Wawa wanaokataa kuruka juu wataendelea kuchekewa basi tutarajie maumivu makubwa huko shirikisho sababu hadi sasa kuna uwezekano mkubwa Rs berkane au Fs rabat(nafikiri wamefuzu) kuja kuua nyoka kwa lupaso
Mimbio ya kisinda na ule uuzaji duka tuliouona upande wa kulia jana tutarajie kuzomewa na wana utopwinyo hadi tulie machozi ya damu ila one thing for sure najua hizo mechi mashabiki watazisusia unless TUONE SOME REAL CHANGES
Kama namuona clatous chama atakavyokuwa anampiga makanzu pascal wawa, uwiii Mungu tuepushe na fedheha inayokuja
ndiyo nimeona muda huu nafikiri goal lao la halali lilikataliwa vs js kabylieFAR Rabat ya Sven imeaga mashindano ya shirikisho CAF