Kuna uwezekano Mayele akapewa uraia Argentina

Kuna uwezekano Mayele akapewa uraia Argentina

pye Chang shen

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2016
Posts
11,422
Reaction score
6,108
Hayo yamependekezwa na mshauri wa ufundi wa Argentina fc kupitia wizara ya michezo na burudani baada ya kuona kiwango cha messi na wachezaji waandamizi wakishindwa kuifunga hata saudi arabia huku upande mwingine mayele akizidi kutupia kila mechi zaidi ya goli moja au mbili.

Ingawa haijathibitishwa lakini kuna uwezekano mkubwa wa mayele kupewa uraia na argentina hasa kama messiy atashindwa kufunga mechi ijayo, macho na masikio yetu yote yapo huko kila la heri mwamba
 
Back
Top Bottom