Naomba kuuliza GT mlioko humu.
1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye aingiliwe kinyume- hata awe baunsa vipi lakini punde tu akimwagiwa "sperm" akili huanza kubadilika na kuwa mapozi ya kike?
2. Kwa nini binti akiwa bado kigori huwa ni shupavu na saa nyingine huaminika sana na wazazi na waweza mtuma mambo makubwa akayafanya kwa kujiamini tena huwa na nguvu lakini punde akianza kumwagiwa huu "ugirigiri" mtoto huwa hakamatiki tena?
3. Naendelea kuuliza kwa nini mtu akilawitiwa hulazimika kupigwa bomba hospitali (kusafishwa)?
4. Bado nahoji kwa nini wanawake wengi wakianza mapenzi hulegea na saa nyingine hata maamuzi ya kuvuka barabara kwao huwa ni kama watoto yaani waweza kumpigia honi apishe njia lakini utashangaa badala ya kusogea tu yeye atatoka kulia pembezoni avuke kuja kushoto Mara arudi yaani kama watoto " hii huanza punde tu akianza kumwagiwa note! Si wote lakini asilimia kubwa!
5. Kwanini ma shoga ni vigumu sana kuachana na tabia hiyo wakianza?
KARIBUNI.
1. Kwa nini mwanaume rijali kabisa ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kutaka yeye aingiliwe kinyume- hata awe baunsa vipi lakini punde tu akimwagiwa "sperm" akili huanza kubadilika na kuwa mapozi ya kike?
2. Kwa nini binti akiwa bado kigori huwa ni shupavu na saa nyingine huaminika sana na wazazi na waweza mtuma mambo makubwa akayafanya kwa kujiamini tena huwa na nguvu lakini punde akianza kumwagiwa huu "ugirigiri" mtoto huwa hakamatiki tena?
3. Naendelea kuuliza kwa nini mtu akilawitiwa hulazimika kupigwa bomba hospitali (kusafishwa)?
4. Bado nahoji kwa nini wanawake wengi wakianza mapenzi hulegea na saa nyingine hata maamuzi ya kuvuka barabara kwao huwa ni kama watoto yaani waweza kumpigia honi apishe njia lakini utashangaa badala ya kusogea tu yeye atatoka kulia pembezoni avuke kuja kushoto Mara arudi yaani kama watoto " hii huanza punde tu akianza kumwagiwa note! Si wote lakini asilimia kubwa!
5. Kwanini ma shoga ni vigumu sana kuachana na tabia hiyo wakianza?
KARIBUNI.