Tetesi: Kuna uwezekano mkubwa wa LOCKDOWN nchi nzima. Kama hujajiandaa fanya sasa

Status
Not open for further replies.
Wacha kuhusisha bible na vitu vya kijinga

umeshindwa taja mambo walau mawili tu mema , kaa kimya
Usinichoshe
Kutokuona kwako uje nisumbua mie[emoji57]
Wewe kama Nani wa kunikalisha mie kimya humu?
 
Hii thread ya Mshana ndio imekuwa thread ya kipumbavu kuliko thread zote za mwaka huu(naamini mpaka mwaka unaisha hakutakuwa na ugolo Kama huu) Ujuaji ukizidi haya ndio matokeo yake.. oooova
Mwaka huu huyu mganga mbabaishaji anajishushia heshima yake kwa kasi y ajabu sana
 
Hii thread ya Mshana ndio imekuwa thread ya kipumbavu kuliko thread zote za mwaka huu(naamini mpaka mwaka unaisha hakutakuwa na ugolo Kama huu) Ujuaji ukizidi haya ndio matokeo yake.. oooova
Haaaaa Haaaaa πŸ˜‚. Ongeza kinywaji nakuja kulipa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”™
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…