Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgumba akipata mimba mate mji mzima CL mara moja makelele mji mzimaSasa team iko shirikisho itapata wapi nguvu za kufanya mavitus kama hayo
HakikaView attachment 3161445
Huo ushamba ni wa timu ndogo ndogo....
😆😆😆Labda kukomaa vigimbi.
Naunga mkono hoja tajiri yangu 😀😀Labda kukomaa vigimbi.
10. Kiwanda kikibwa cha kuzalisha kondom ili kutokomeza mimba za utotoni na UKIMWINiliacha kushabikia Mambo ya Usimba na Uyanga
WOTE NI WAPUAMABAVU TU.
Wameshindwa kunufaika na Utajiri wa Mashabiki walionao.
SIMBA NA YANGA WALITAKIWA WAWE NA.
1. kombe la Klabu Bingwa Africa.
2. Uwanja wenye mashabiki elfu 90.
3. Viwanda zaidi ya Vitano.
4. Maduka ya jezi Tanzania Nzima.
5. Accademy za Maana na shule za Michezo
6. Kumbi kubwa za Mikutano na sherehe.
7. Hotel za kimataifa nyota 5.
8. Nyumba za wachezaji viongozi na Makocha.
9. Mtaongeza wenyewe.......
Huo ubingwa ni wakina kayoko na sio wa yanga kama yanga,Kayoko anavikombe vyake vitano na wengine pia wanayoBingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mara nyingi zaidi huyo ndie mkomavu. Maana yake hana mshindani.
Na hapa si mwingine bali Yanga Sports Club baba lao.
Hahahaa cry hardHuo ubingwa ni wakina kayoko na sio wa yanga kama yanga,Kayoko anavikombe vyake vitano na wengine pia wanayo