Iv mtu anaeambiwa asubiri masaa72 ndio aendelee na process zingine hii inakuaje na ukicheki muda wa application umepita jana
mkuu mimi pia niko kundi hilo nasubiria sijui itakuaje
Pole yetu wote tuombe mung wakubali kuongeza
Lakin kuna friend wang yy aliapply wiki moja kabla ya mda kwisha ambayo jana na hajaletewa majibu toka alipoambiwa asubiri masaa 72 mpaka leo karibu two weeks sasa hajapewa majibu.majangaaa
mkuu jana wamenitumia email leo nitamalizia application
Wameongeza hadi tar 5 mkuu