Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una bahati mbaya sana, siku ya kumi na nne na kumi na tano plus kumi na sita ni mtoto wa kiume...uliza mtu yeyote, jaribu kuperuzi maeneo mmengi hata google tu itakusaidia....manake naona umeongea kwa ujasiri wako wote kama unajua vile.ndio anaweza pata mimba..bt kaka hapo juu napingana nae tarehe za mwanzon za hatar i.e kuanzia 8 mpaka kumi 3 ivi mtoto mara nyng wa KIUME ila tarehe zngne ndo mwanamke.
Ndiyo inawezekana, tena iyo siku ya 15 ni mtoto wa kiume aisee,...lea iyo mimba kuna dume linazaliwa. siku za hatari ni kuanzia siku ya 9 hadi ya kumi na tano au kumi na sita ivi...siku ya 9 hadi ya 12 ni mtoto wa kike, siku ya 13, 14 na 15 au pengine 16 ni mtoto wa kiume.....na kuna wanawake wengine unadetect mimba haraka sana...
Mfano, mimi na mke wangu, nina damu kali sana, ile wiki mke wangu mimba inanasa tu, wiki hiyo hiyo huanza kuugua hadi miezi kama miwili mitatu ivi......yaani home na kutapika mtindo mmoja...wiki ileile ya kwanza, hivyo tukiwa tunataka kupata mtoto, nikishalenga tarehe tu nikaona ameanza kuugua, huwa sina haja ya kuchukua UPT nipime, ni kuanza kulea mimba mtindo mmoja hadi miezi mitatu ndo anaanza kuwa normal na kula chakula kama kawaida...mate kibao yaan shughuli.